kwa hiyo mlilipa kiingilio kuona huu usani?Kufoji vyeti lazima mlipe kiingilio?Na ninyi wadhamini,mmekubali kazi nzuri ya usanii wa kufoji mpaka mmetoa udhamin?
Kwa kuwa ameonyesha udhaifu katika kujibu, na kwa kuwa anaonekana ni mwongo kupita kiasi basi tupeleke tuhuma hizi ubalozi wa marekani asirudi huko kwa kuwa ni bingwa wa kufoji na kusahau, anaweza akawa hata alshabaab.