Nini kimemkwaza mpaka Salama alengwe na machozi.
ni stori kuhusu a tanzanian musician anaitwa albino flani anaishi marekani...jamaa he is true inspiration..anasimulia jinsi anavyosaidia maalbino kama yeye ambao walikosa nafasi na matatizo aliyopitia...msanii anajielewa..big up Mkasi tv na salama