Album gani ya Bongo ni kali zaidi kwako?

Album gani ya Bongo ni kali zaidi kwako?

[emoji91]View attachment 1960525View attachment 1960526
JamiiForums-1928540686.jpg
 
FUNGA KAZI haitotokea tena kwenye kwenye historia ya HPHP tanzania ni album bora kwangu kwa miaka yote! HARD BLASTERS CREW
 
Zamani kulikua na muziki kweli! Siku hizi janja janja tu!

Mtu mzima kama
1. Mr 2
2. Solo Thang
3. Jay MO
4. Afande Sele
5. Prof Jay
7. Mike Tee

Na wengine wengi! Was fire kweli kweli

Unawajua hard blasters wewe na funga kazi?
 
Back
Top Bottom