Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Zamani kulikua na muziki kweli! Siku hizi janja janja tu!
Mtu mzima kama
1. Mr 2
2. Solo Thang
3. Jay MO
4. Afande Sele
5. Prof Jay
7. Mike Tee
Na wengine wengi! Was fire kweli kweli
#TBT
Album gani ya Bongo hasa zile za kitambo ilikuwa kali kiasi cha kushindwa kuskip hata ngoma moja. Najua Album zilikuwa zimeenea sana..
Mimi Album ya A.K.A Mimi ya Albert Magwair kwangu mpaka leo tamu. Nambie kuhusu ww mdau?
#forgive Me.
Umeniwahi... Hii albamu haina mpinzani hasa kwa ss wapenda hihopVINA MWANZO KATI NA MWISHO BY FID Q
HahahaUmeniwahi mkuu
Ni Mimi by Mr. Too proud a.k.a Sugu
Zamani kulikua na muziki kweli! Siku hizi janja janja tu!
Mtu mzima kama
1. Mr 2
2. Solo Thang
3. Jay MO
4. Afande Sele
5. Prof Jay
7. Mike Tee
Na wengine wengi! Was fire kweli kweli
Hivi mixtape nazo ni album?Antivirus (Vinega) Vol 1 & 2