Alcohol drinkers special thread

Hivi kwanini msibani watu wengi hunywa pombe?, hadi kuna usemi "msiba bila pombe haujakamilika"
 
Wale wala mtungi haka ni kauzi ketu. Sema nini unatumia muda upi wakati gani na mahala gani?
Nashangaa hujapewa LIKE mkuu, pamoja na kwamba huu uzi ni muhimu kuliko hata maandamano ya Mange!
Anyway labda watajifikiria nawo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…