Alcohol drinkers special thread

Swali lako la kichoko nimeshakujibu ila kwa umbugira wako huwezi kujua kama nimekujibu au hapana na wala sina haja ya kukujibu tena. Tatizo huu upumbavuu wa kurithi ndio unaokusumbua sioni haja ya kuendelea kujibishana na wewe ngurue poriii tena hii ndio iwe mwisho kuninukuu
 
Unahasara sana kama halimashauri ya kichwa chako ndo ipo hivi.. ila hii mipasho unawazidi hata dada zako, halafu tabia za kichoko unaziongelea sana hapana shaka wewe ni certified choko. Maana huna akili ulizo kuwa nazo kwa arguement hizi..
 
Nachukia sana pombe ndio chanzo kilicho watia umasikini kaka zangu waliokuwa wana kazi zao nzuri tu.
Kaka zako walikuwa wanalewa sifa, usihusishe pombe na kufilisika kwao.
KUNYWA POMBE UPATE AKILI!
 
Kaka zako walikuwa wanalewa sifa, usihusishe pombe na kufilisika kwao.
KUNYWA POMBE UPATE AKILI!
Huyu jamaa akili yake ina matatizo halafu anakomaa kuargue ujinga tu
 
Mnywaji mzuri huwa anatambua kipimo chake ama dalili zake za kulewa
 
Mods nikianzisha uzi wa wala msuba spesho sledi nawaomba msiufute.
 
Mkuu punguza jazba haina haja ya kubishana mwisho wa siku hakuna anayefaidika mambo mengine unaacha tu sorry lakini
 
Aya sasa wale tuliokuwa tukiombea weeknd ifike ndo kama hvi mambo inaenda asubuh mapema baada ya kutoka gym mda wa 6:00am inabdi nipate shots kwanza za kueka kichwa sawa nkisubiria bath.
Cheers"!
 
Aya sasa wale tuliokuwa tukiombea weeknd ifike ndo kama hvi mambo inaenda asubuh mapema baada ya kutoka gym mda wa 6:00am inabdi nipate shots kwanza za kueka kichwa sawa nkisubiria bath.
Cheers"!
Ukiupitia huu uzi ukiwa unasukumizia ka kipolo ka vodka na ka fegi kwa mbaaali .

Unaeeza sema uko peponi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aisee akafu ukute uko na baby kwa hapo pemben kaz yake anakuongezea kinywaj kweny glass kila ikiisha au anakunywesha anasindikiza na kabusu aisee huyu dem wangu ananikosha sans roho yeye hataki nizime tu.
 
Hivi kwanini msibani watu wengi hunywa pombe?, hadi kuna usemi "msiba bila pombe haujakamilika"
Wengine hunywa sana ili walale pale msibani bila shida manake ukilala msibani hafu uwe macho makavu utaona usiku mrefu sana kwa baridi na mbu watakaokukong'ota
 
Wengine hunywa sana ili walale pale msibani bila shida manake ukilala msibani hafu uwe macho makavu utaona usiku mrefu sana kwa baridi na mbu watakaokukong'ota
Hivi huu utaratibu wa kulala kwenye misiba ni kutokana na dini zetu (uislam na ukristo) ama ni mila za kiafrika? Nchi nyingine Afrika wanafanya hivi? Na nchi za ulaya, amerika na asia wanautaratibu huu?
 
Hivi huu utaratibu wa kulala kwenye misiba ni kutokana na dini zetu (uislam na ukristo) ama ni mila za kiafrika? Nchi nyingine Afrika wanafanya hivi? Na nchi za ulaya, amerika na asia wanautaratibu huu?
Kwa nchi nyingi za afrika hufanya hivyo ila kwa ulaya,america na Asia sina uhakika. So nikilitazama kiundani naona ni suala la kiutamaduni Wa waafrika
 
Wengine hunywa sana ili walale pale msibani bila shida manake ukilala msibani hafu uwe macho makavu utaona usiku mrefu sana kwa baridi na mbu watakaokukong'ota
Sasa si bora waandae magodoro na dawa nyingi za mbu ili waombolezaji wawe comfortable?
Mkuu punguza jazba haina haja ya kubishana mwisho wa siku hakuna anayefaidika mambo mengine unaacha tu sorry lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…