Alcohol drinkers special thread

wewe hujamsoma huyu[emoji23][emoji23][emoji23]...umemchoma na lile swali la "wewe usiekunywa pombe umeshakua tajiri?"....
ndomana povu linamtoka
 
Kama kawa kama dawa amsha popo kwa hali ya atown lazma shots za JD zifanye kazi
 
Hapa mwendo wa konyagi tuu, beer sijui kwa nini inanichukuwa mda mrefu sama kulewa, Ila kiboko yangu ni hivi vi wine vinaitwa imagi...nikinywa vitatu tuu naenda kulala
Hahah Imagi hata wale walevi sugu wanaikubali sana,sijui ina nini ile kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…