Alcohol drinkers special thread

Alcohol drinkers special thread

Kamuda ka saa moja moja hivi nitakuwa Rainbow kwaajili ya game then game ikiisha naamia Malaika kuangalia kuku mzuri.
 
hahaha ss tabu zote hizo za nn!!
Tabu baadae mkuu, ila unalewa kwanza mizuka inapanda uwezo wa kufikiri unakua mkubwa pombe tamu mkuu ila Safari lager mikono juu, mimi na k vant banah
 
IMG_20180407_143759.jpeg
IMG_20180407_143721.jpeg
...
K vant na mbuzi choma weekend mood activated
 
Kibapa walisema kinakomaza sura na pia huleta kisukari hivyo nimehamia ktk valeur sasa
 

Attachments

  • IMG_20180407_141118.jpg
    IMG_20180407_141118.jpg
    20.3 KB · Views: 51
kuna jamaa moja humu jf aliwahi kusema mwanaume ambaye hanywi pombe hana akili,yapi maoni yenu wadau wa vilaji
 
Vipi wale wa SHIMHA WARAGI wako humu kweli[emoji86] [emoji86] [emoji86]
 
Back
Top Bottom