hilo tatizo ndio lina itwa aleji...?Yanakuwa na rangi nyekundu halafu na kama mchanga hivi machoni
Tumia dawa kama Cetrizine, inasaidia kupunguza kiwango cha histamine katika mwili. Histamine ndo kemikali ambayo inasababisha mzio (aleji), pamoja na hizo dawa walizokupa.Wakuu Nina tatizo la aleji ya macho kwa zaidi ya mwezi sasa.Nimeenda hospital Ccbrt walilnipa dawa za matone nimetumia lakini bado tatizo lipo
Mwenye kujua hata dawa ya asali aniambie manake hali si shwari.
PAMOJA NA HAYO HAUNA TATIZO LA KUONA... LABDA MWANGA UNA KUSUMBUA???Ndio, walinipima hospital wasema ni aleji
Umejaribu kutumia miwaniHata mwanga mkali pia unanisumbua
hizo wala sio dalili za aleji, labda kama hukujieleza vyema kwa daktari.Yanakuwa na rangi nyekundu halafu na kama mchanga hivi machoni
Jaribu kupima kwa ajiri ya miwani... Angalia Kama una tatizo la kuona mbali.... Nazani utakuwa na tatzo HiloHapana sijajaribu
Walikwambia au kukuandikia Ni aleji ya ninjNdio, walinipima hospital wasema ni aleji
MmmhAleji ya macho (allergic conjunctivitis)