Aleji ya macho

Aleji ya macho

Hebu jaribu kwenda pale International Eye Clinic makao makuu ya Halotel barabara ya Bagamoyo ukivuka mataa ya Moroko ukitokea Posta. Wapo vizuri sana
 
Hebu jaribu kwenda pale International Eye Clinic makao makuu ya Halotel barabara ya Bagamoyo ukivuka mataa ya Moroko ukitokea Posta. Wapo vizuri sana
Nashukuru ngoja nijipange niende
 
Nashukuru Mkuu, Acha nizitafute hizo dawa
Zinapatikana Pharmacy nyingi tu. Usiache kutumia na hizo za maji ( Hope ulipewa Alerchek). Macho yashawahi nisumbua sana, mpaka nikavaa miwani, By the moment naenda CCBRT ndo nikagundua ni allergy. Nilitumia B-Complex, Cetrizine, Alercheck na ivydexnico eye drops.
 
Hebu jaribu kwenda pale International Eye Clinic makao makuu ya Halotel barabara ya Bagamoyo ukivuka mataa ya Moroko ukitokea Posta. Wapo vizuri sana
Mkuu,gharama zao zipoje? Maana hata mm mwanangu anasumbuliwa na tatzo hilo
 
Mkuu,gharama zao zipoje? Maana hata mm mwanangu anasumbuliwa na tatzo hilo
Inategemea mkuu na shida. Mimi nilienda macho yalikuwa yanasumbua hadi nikawa napata shida kuona yanawasha pia. Wana vipimo vyao wakapima na kubaini ni allegy. Wakanipatia dawa nimepona. Ila nilipenda vipimo vyao wako vizur. Nililipa 60K
 
Inategemea mkuu na shida. Mimi nilienda macho yalikuwa yanasumbua hadi nikawa napata shida kuona yanawasha pia. Wana vipimo vyao wakapima na kubaini ni allegy. Wakanipatia dawa nimepona. Ila nilipenda vipimo vyao wako vizur. Nililipa 60K
Hiyo ni vipimo Pamoja na dawa?
 
Zinapatikana Pharmacy nyingi tu. Usiache kutumia na hizo za maji ( Hope ulipewa Alerchek). Macho yashawahi nisumbua sana, mpaka nikavaa miwani, By the moment naenda CCBRT ndo nikagundua ni allergy. Nilitumia B-Complex, Cetrizine, Alercheck na ivydexnico eye drops.
Nashukuru mkuu kwa nyongeza .
 
Wakuu nina tatizo la aleji ya macho kwa zaidi ya mwezi sasa nimeenda hospital CCBRT walinipa dawa za matone nimetumia lakini bado tatizo lipo mwenye kujua hata dawa ya asali aniambie manake hali si shwari.


Swali, una mapenzi ya kunyonya dushe?
 
Vipi yanatoa matongotongo? Yanakuwa mekundu muda wote au nyakati flani? Je ukiamka asubuhi yanatoa machozi?
 
Vipi yanatoa matongotongo? Yanakuwa mekundu muda wote au nyakati flani? Je ukiamka asubuhi yanatoa machozi?
Matongo tongo yanakuwa mengi hasa hasa asubuhi,machozi hapana na yanakuwa mekundu sana nyakati za usiku
 
Back
Top Bottom