Alex Julius anatuharibia watoto wetu, wanafunzi na wake za watu

Alex Julius anatuharibia watoto wetu, wanafunzi na wake za watu

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Huyu jamaa serikali ingilieni Kati yupo magomeni mapipa mtaa wa dosi. Huyu dogo kila siku anapenzika na wanafunzi tena mpaka mwenyekiti wa serikali ya mtaa anajua, kila siku anabadilisha wanawake watoto wa kike wengi ni wanafunzi wanapishana mlangoni. Bado kesi za kuwala wake za watu kila wakati haachi anapewa onyo hataki kusikia.

Nywele zake huwa anaweka brichi ni mwembamba mweupe ana viheleni masikioni mwembamba. Please polisi fatilieni hili huyu dogo anafumua sana wanafunzi wa sekondari shule za jirani kama makurumla na tuliani. Hana kazi yoyote yeye nikuwalala tu wanawake mshenzi huyu Umri wenyewe hakana hata miaka 22.
 
Huyu jamaa serikali ingilieni Kati yupo magomeni mapipa mtaa wa dosi. Huyu dogo kila siku anapenzika na wanafunzi tena mpaka mwenyekiti wa serikali ya mtaa anajua, kila siku anabadilisha wanawake watoto wa kike wengi ni wanafunzi wanapishana mlangoni. Bado kesi za kuwala wake za watu kila wakati haachi anapewa onyo hataki kusikia.

Nywele zake huwa anaweka brichi ni mwembamba mweupe ana viheleni masikioni mwembamba. Please polisi fatilieni hili huyu dogo anafumua sana wanafunzi wa sekondari shule za jirani kama makurumla na tuliani. Hana kazi yoyote yeye nikuwalala tu wanawake mshenzi huyu Umri wenyewe hakana hata miaka 22.
TIGHA BHATEMWE!
 
Sioni kama kuna mantiki hapo mkuu, kama anakula wake za watu kosa ni la wake za watu sio jamaa, kama anakula wanafunzi kosani la wanafunzi, ubaya ungekuwepo kama anawabaka hao wanawake basi.
Kwahiyo kula wanafunzi ni poa tu. Basi adhabu wangepewa wanafunzi wa kike ingekuwa hivyo
 
Damu inachemka 22 bado umri unaruhusu inaonekaaana ana kile kigogo cha kusukumia chapati acha awasukumie moto ila siku akinasa kamla mke wa mtu na yeye akafumuliwa Malinda na kupumuliwa kwa nyuma pia usisite kutuletea mrejesho mkuu
 
Back
Top Bottom