Alex Julius anatuharibia watoto wetu, wanafunzi na wake za watu

Niogope shoga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maana dogo mwenyewe ukimwona kama mwanamke. Afu sijui kwann wanawake wanapenda wanaume waajabuajabu
Jirani ndoo umekuja huku kunitangaza? mpwayungu village
 
Wivu tu unakusumbua
 
Niogope shoga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maana dogo mwenyewe ukimwona kama mwanamke. Afu sijui kwann wanawake wanapenda wanaume waajabuajabu
Yupo Kama shoga , sasa wewe umejuaje Kama anawagonga , Kama ni shoga wao je , au hua unakula chabo akiingiza mwanamke
 
NA SASA ANATANGAZA KUWA YOU ARE NEXT.,. ANASEMA HUMALIZI WEEK HII ANAKULA NA WEWE.,. Ndo uone watu wabaya sasa. Nyie watu magomeni na kinondoni shida sana.
 
Umesema Hana kazi kwa hiyo huwa anatoa wapi hela za kuwagongea wake za watu mixer wanafunzi wa shule?

Or a we to assume that jamaa atakuwa anatumia madawa/ limbwata kuwavuta wanawake?
 
Jamaa atakuwa Ni fundi kitandani anapiga show za kibabe Tena anasimamia ukucha ndo maana wanawake wanafurika kwake.
 
Ukimsemea ataachana na Wanafunzi na wake zenu ataanza kuwala Ndogo nyie midume.

Eti hana Kazi, Ina maana ni kitu gani haswa alichonacho chenye ushawishi hadi ale hadi mkeo na wadogo zako(Wanafunzi)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…