Mkuu acha kufananisha Kagere na vitu vya kipuuziKITENGE Naam jina ambalo kuanzia siku ya Jana,hadi Leo linaendelea kushika kasi kwenye viunga vya jiji hili na Tanzania nzima,
Kijana ana uwezo ana mbinu yaani ana vitu flani hivi,hasa goli lake la kwanza.angekuwa yule Mzee wa kihutu nadhani tusingekunywa maji
Subiri ukikutana naye ndiyo utajua nani mpuuzi kati ya Kitenge na Hugo mziba macho wenu. Kumbuka timu hii ilikutoa jasho taifa msimu uliyopita.Mkuu acha kufananisha Kagere na vitu vya kipuuzi
Sasa Mkuu, Kitenge kumfunga yule dansa toka nchini Kongo.. Ndo kashakua hatari? Kwa kifupi defense nzima imeoza, kwann sasa asiwatese? Alafu kwann mnamlinganisha na MK14.. Makombo vipi kahama ligi?Subiri ukikutana naye ndiyo utajua nani mpuuzi kati ya Kitenge na Hugo mziba macho wenu. Kumbuka timu hii ilikutoa jasho taifa msimu uliyopita.
Sasa Mkuu, Kitenge kumfunga yule dansa toka nchini Kongo.. Ndo kashakua hatari? Kwa kifupi defense nzima imeoza, kwann sasa asiwatese? Alafu kwann mnamlinganisha na MK14.. Makombo vipi kahama ligi?
Mkuu hata wachezaji "wa kariba take" kama Messi na CR7 hawafungi kila siku.Naona MK 14 iligeuka MK 0 Jmosi Kyle Ntwara.
Mkuu niulize kipi wakati nilikua uwanjani?Uliza nangwanda sijaona