Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
KITENGE Naam jina ambalo kuanzia siku ya Jana,hadi Leo linaendelea kushika kasi kwenye viunga vya jiji hili na Tanzania nzima,
Kijana ana uwezo ana mbinu yaani ana vitu flani hivi,hasa goli lake la kwanza.angekuwa yule Mzee wa kihutu nadhani tusingekunywa maji
Kijana ana uwezo ana mbinu yaani ana vitu flani hivi,hasa goli lake la kwanza.angekuwa yule Mzee wa kihutu nadhani tusingekunywa maji