Alex Luambano: Sijawahi kuwaona Real Madrid wamebeba mapipa, Al Ahly wapunguze mikwara

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Baada ya Al Ahly kutua airport huku wakionekana wamebeba mapipa makubwa kuelekea mchezo wa dhidi ya Simba, mwandishi mkongwe wa michezo kutoka Clouds Fm, Alex Luambano apigwa na butwaa.

Sijawahi kuwaona Real Madrid wakiwa wamebeba mapipa, sasa hii Al Ahly ambayo ni miongoni mwa timu kubwa Afrika inabebaje mapipa? Waache mikwara.

My take:
Mapipa wamebeba maji na chakula chao, sasa kesho wakipigwa sijui watasingizia hujuma gani?
 
Ni ufinyu wa akili zake huyo mtangazaji, Madrid hawabebi kutokana na uwepo wa vifaa vya michezo takriban 90% mwa nchi za ulaya yaani wakitoka Spain kwenda Italy bado watapata vifaa vya michezo mbalimbali.

Ila Al Ahly ni timu kubwa sana Africa kiuchumi, kimiundombinu hadi uongozi. Wamebeba hayo mapipa wanajua program zao mazoezi wanahitaji nn. Huwezi kuta benchi la ufundi la Al ahly limeundwa na watu 6 au 7 kama hizi timu zetu hapa, ukubwa wao tu la benchi la ufundi unatoa picha wale watu wapo serious na mpira kwa kiasi gani
 
Hii wiki imekuwa Wiki mbaya Sana na Ya Mateso kwa Utopolo.....!

Dua Lao lililobaki ni Simba ifungwe tu......!

Msijari.....Mwakani Zitashiriki timu 24,na nyie Utopolo mtakuwepo...!

Hapo vipi..? Haya tuombeeni mema Hapo Kesho....!

Ila mkumbuke Kununua Mabeki Warefu warefu......hii michuano Zalani na ASAS Djibouti hawatakuwepo..!

Sasa Kibabage,Kibwana,Job na Yao Asante Kwasi ule ufupi Wao mtakuwa mnafungwa tu....! Sisi ni ndg ni vema tustuane Mapema.

Mo Dewji tunamshukuru akili nyingi na uzoefu mwingi....! Kila Changamoto za Nyuma huwa anazifanyia Kazi....! Zile Beki zenu zitawakosti.....!
 
Mapipa ni sehemu ya mind games & psychological warfare!! We won't buy into it!!! We are more smart than them!!
 
Hii wiki yanga wameteseka sana!! Niwape tu pole maana simba si saizi yao tena kwenye medani za kimataifa!!
 

Weka picha ya hayo mapipa tuyaone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…