Alex Massawe: Umaarufu wake unatokana na nini?


umenena vyema
 
Wampeleke segerea tu watu wakale KABAAAAANG


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hata mke wake wa kwanza alimpiga risasi akafa na ikaisha kimya kimya
HEEEeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!! jamaa ni katili kuliko maelezo, Sasa atakutana na pilato, naiomba serikali ipeleke ushahidi unaojitosheleza na mawakili wale ambao ni nguli, hata ikibidi wamkodi Lissu apambane na mawakili wa huyu jaaammaaa maaaana najua atakuwa amejipanga na mawakili wake kupangua hii kesi inayomkabili, vinginevyo serikali itashangazwa kama ilivyoshangazwa juzi na Na KESI YA SUGU KULE DODOMA:help:
 
Nifahamisheni huyu jamaa ana umaarufu gani hasa? Nimekuwa nikisikia akitajwa sana na vyombo vya habari kuwa amekamatwa, nijuzeni

Una umri gani? Au una miaka mingapi?
 
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho....!!!
 
Wampeleke segerea tu watu wakale KABAAAAANG


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Akawale ama akaliwe! Mkuu hawa kuwa wanaishi mle kama vile wako home! Tatizo wewe! Umesahau Yule jamaa wa Benki kuu alikuwa anampigia jombaaa wa magogoni wanabonga kiaina!
 
kama jastin nyari walimtoa nakumpa uongozi kwanini wasimtoe alex, chezeya ccm weye
 

heeee wewe una uzima kweli?
 

Mkuu nisome hapo juu. Alex, kesi yake aidha ''atashinda'' au ataenda ''mvua chache''. Na hiyo ni kutokana na support ya serikali yenyewe. Kwa hiyo serikali haijipangi kushinda bali kushindwa
 
Huyu jamaaa atatoka tu hii ni danganyika nchi nzuri sana hanyongwi mtu hata cku moja.
 
heeee wewe una uzima kweli?


Jiweke kwenye nafasi ya mke wa yule jamaa aliyeuliwa na huyu mburulaa, utakuwa na huruma kweli na huyu? Msumeno kwa msumeno, unafikiri kwanini alikimbia si anaogopa kifo, ila anapenda kuua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…