Alex Ngereza: Al ahly watapasuliwa za kutosha na Yanga Kwa mkapa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Haya ni maoni ya mchambuzi maarufu kwenye kituo flani Cha redio

"Hawa Al Ahly[emoji1093]siku wakikutana Yanga SC[emoji1241]pale kwa makapa watapasuliwa za kutosha kwa sababu kuna muda wanajisahau kuziba nafasi hasa ukiwashambulia kwa kasi

Na ni moja ya siraha ya Yanga ni kasi wanashambulia kwa speed sana kiasi kwamba ukiwaachia tu nafasi kidogo lazima wakufunge"

[emoji2399]Alex Ngereza
 
Al Ahly....watajuta kukutana na Yanga .....Bingwa.....watajuta
 
Kwani saiz Yanga yupo wap
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Miaka 25 kupita, hatimaye Yanga anacheza Club bingwa.
Sizungumzii kipindi hiki, msimu uliopita. Acha kuhamisha channel. Ilikuwaje mkashindwa kucheza club bingwa?
Ngao ya hisani chali. Oh ni mwendo wa 5G, wenye nafasi zao wamefika. Mara Ihefu hii hapa chali.
Al Alhly wakicheza na Yanga ni kichapo. Mnacheza mpira wa mdomoni.
 
Ile ilikuwa njia mkuu
 
kiukweli watafungwa.
 
Alex Ngereza ni mmoja wa vilaza katika tasnia hii ya uchambuzi,mleta uzi amefurahishwa na huyo kanjanja kwa vile ameandika kitu anachotaka kusikia. Utopolo mnajiokotea tu matakataka kutujazia server.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…