Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalooooo👌
Viongozi wa timu/kamati ya ufundiNani anasajili,,,??
Tuko pamoja Ngungu Boy.We zombie haujui.
Sasa ipo hivii. Simba ni taasis, taasis ina falsafa, falsafa inabebwa na watendaji wa taasisi. Kwa kuwa wewe na wenzako ni vilaza basi soma hapo chini nimeandika kwa ajili ya watu ambao hamkupata hata D moja primary.
Ipo hivi. Timu ya Simba falsafa yake ni kupiga pira biriyani kuwafurahisha mashabiki wakati huo huo ikishinda mechi zake na vikombe.
Tena kwa kuwa huko wenye akili hamuongezeki zaidi ya wale wa2 tuu, nitaendelea. Ili kulinda falsafa ya Simba watendaji wa kila siku wa Simba (viongozi na sio kocha) wanawajibika kusajiri kocha na wachezaji wa watakaoendana na falsafa ya Simba ili kutimiza malengo ya Simba.
Sikia wewe kilaza, ni kwamba unaweza ikatokea watendaji wa Simba wakafanya ujinga na kisajili kocha na wachezaji ambao hawawezi kuibeba falsafa na malengo ya Simba. Hapo lawama zote zinaenda kwa viongozi wa timu ambao walitakiwa walete watu wanaoendana na Simba.
Ndio mana unaona kocha kama Robatinyo na benchika ni makocha Bora lkn falsafa zao hasikuendana na ya Simba. So solution ni kuwatimua na kushinikiza uongozi kuwajibika.
Sijui huko kwenu kwenye makazi ya vyura kama mna falsafa yoyote ya timu au ndo kila mfadhili na falsafa yake kama serikali ya chama chetu. Huku sisi viongozi ndio wanasajiri timu na makocha wenye kuibeba na kuendana na falsafa ya mnyama.
Kiufupi tu kwa kuwa ukilaza wako umepitiliza nakupa mifano ya timu kama Barcelona ma Bayern Munich ambapo hutokuja sikia eti kocha anamtaka mchezaji Fulani anaweza akatimuliwa siku hiyo hiyo kwani sio kazi yake. Mambo ya eti kocha anataka mchezaji Fulani utayakuta kwenye timu za hovyo hovyo kama man utd huko.
Umeelewa? Kama hujaelewa geuza simu yako usome kinyumenyume huku ukiuchungulia huo mwiko huko nyuma, pambaaf
Hasa huyu mleta uzi huu, ye huwa kila kukicha, ni nyuzi za kuiponda Simba tu! Hana tofauti na yale MATAGA ya BUKU SABA!Machawa wa GSm wapuuzi sana.
Basi mtapata taabu sana mkuu.....Yanga falsafa yao ni pira speedWe zombie haujui.
Sasa ipo hivii. Simba ni taasis, taasis ina falsafa, falsafa inabebwa na watendaji wa taasisi. Kwa kuwa wewe na wenzako ni vilaza basi soma hapo chini nimeandika kwa ajili ya watu ambao hamkupata hata D moja primary.
Ipo hivi. Timu ya Simba falsafa yake ni kupiga pira biriyani kuwafurahisha mashabiki wakati huo huo ikishinda mechi zake na vikombe.
Tena kwa kuwa huko wenye akili hamuongezeki zaidi ya wale wa2 tuu, nitaendelea. Ili kulinda falsafa ya Simba watendaji wa kila siku wa Simba (viongozi na sio kocha) wanawajibika kusajiri kocha na wachezaji wa watakaoendana na falsafa ya Simba ili kutimiza malengo ya Simba.
Sikia wewe kilaza, ni kwamba unaweza ikatokea watendaji wa Simba wakafanya ujinga na kisajili kocha na wachezaji ambao hawawezi kuibeba falsafa na malengo ya Simba. Hapo lawama zote zinaenda kwa viongozi wa timu ambao walitakiwa walete watu wanaoendana na Simba.
Ndio mana unaona kocha kama Robatinyo na benchika ni makocha Bora lkn falsafa zao hasikuendana na ya Simba. So solution ni kuwatimua na kushinikiza uongozi kuwajibika.
Sijui huko kwenu kwenye makazi ya vyura kama mna falsafa yoyote ya timu au ndo kila mfadhili na falsafa yake kama serikali ya chama chetu. Huku sisi viongozi ndio wanasajiri timu na makocha wenye kuibeba na kuendana na falsafa ya mnyama.
Kiufupi tu kwa kuwa ukilaza wako umepitiliza nakupa mifano ya timu kama Barcelona ma Bayern Munich ambapo hutokuja sikia eti kocha anamtaka mchezaji Fulani anaweza akatimuliwa siku hiyo hiyo kwani sio kazi yake. Mambo ya eti kocha anataka mchezaji Fulani utayakuta kwenye timu za hovyo hovyo kama man utd huko.
Umeelewa? Kama hujaelewa geuza simu yako usome kinyumenyume huku ukiuchungulia huo mwiko huko nyuma, pambaaf
Uliona wapi hiyo, wakati kocha ndio anatangulia kufukuzwa kabla ya mchezaji timu inapofanya vibayaYaaah but Kocha ndiye anayependekeza aina ya wachezaji.....kutokana na uhitaji wake
Huyu mpuuzi Alex Ngereza hajui mpira kabisa yeye anachokifanya kuanzisha mada ya kuziponda Club za Simba na Yanga kila wakati lolote wanalolifanya lazima aponde nia yake ni kupata umaarufu kupitia timu hizi. Kumnukuu mpuuzi kama huyu na wewe unaoneka ni kanjanja kama yeye tu.Simba inafanya mambo kienyeji, Ushawahi ona wapi timu ina sajili wachezaji zaidi ya wa 5 pasipokuwa na Kocha mkuu nina mashaka na perfomance yao msimu ujao"
Alex Ngereza Mchambuzi wa soka Tv3.
View attachment 3034390