Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Huyu mpuuzi Alex Ngereza hajui mpira kabisa yeye anachokifanya kuanzisha mada ya kuziponda Club za Simba na Yanga kila wakati lolote wanalolifanya lazima aponde nia yake ni kupata umaarufu kupitia timu hizi. Kumnukuu mpuuzi kama huyu na wewe unaoneka ni kanjanja kama yeye tu.
Kwa hiyo ameumia sana moyo na roho?Simba inafanya mambo kienyeji, Ushawahi ona wapi timu ina sajili wachezaji zaidi ya wa 5 pasipokuwa na Kocha mkuu nina mashaka na perfomance yao msimu ujao"
Alex Ngereza Mchambuzi wa soka Tv3.
View attachment 3034390
Mdau au ana lake jambo tu?Kwa nini asijadili ufugaji wa samaki?Yaaah mkuu....coz ni mdau wa soka
Kuna wengine sawa ni mapendekezo ya kocha lakini asimilia kubwa wanasajiliwa na kamati ya ufundi. Kocha ni mtu wa kupita, ana mkataba wa mwaka mmoja au miwili, inawezekana hawajui wachezaji wa nchi husika. Wachezaji wengine wanasajiliwa kibiashara zaidi.Kutokana na mapendekezo ya kocha
Speefd kama ya skudu au sioBasi mtapata taabu sana mkuu.....Yanga falsafa yao ni pira speed
AaaahKuna wengine sawa ni mapendekezo ya kocha lakini asimilia kubwa wanasajiliwa na kamati ya ufundi. Kocha ni mtu wa kupita, ana mkataba wa mwaka mmoja au miwili, inawezekana hawajui wachezaji wa nchi husika. Wachezaji wengine wanasajiliwa kibiashara zaidi.
Sahihi
Ana tabia za kikekike Sana huyo ngereza Anapenda kujilizaliza Sana hasa kwenye masuala yanayoihusu simba. Hajawahi kuja na hoja ya Maana tofauti na kuiponda simba.Hasa huyu mleta uzi huu, ye huwa kila kukicha, ni nyuzi za kuiponda Simba tu! Hana tofauti na yale MATAGA ya BUKU SABA!
Akifukuzwa akaja kocha mwingine wale wachezaji aliowapendekeza yeye nao wafukuzwe kwakuwa kocha anaekuja yeye pia hakuwapendekeza?Yaaah but Kocha ndiye anayependekeza aina ya wachezaji.....kutokana na uhitaji wake
Sasa kama ni pira spidi Mzee Chama Konokono ataweza kweli? Au kwakuwa wajinga ndio waliwao Mzee Chama Konokono kaja kujilia tu pensheni yake ya uzeeni kwa wajinga Kisha asepe zake ?Basi mtapata taabu sana mkuu.....Yanga falsafa yao ni pira speed
Kocha mgeni anaweza kuwa shape wachezaji according to jinsi anavyotaka .......but kama imeshindikana basi atawapa thank youAkifukuzwa akaja kocha mwingine wale wachezaji aliowapendekeza yeye nao wafukuzwe kwakuwa kocha anaekuja yeye pia hakuwapendekeza?