Alex Ngereza: Simba SC wanafanya mambo kienyeji

[emoji23][emoji23]
 
Aaaah
 
Hasa huyu mleta uzi huu, ye huwa kila kukicha, ni nyuzi za kuiponda Simba tu! Hana tofauti na yale MATAGA ya BUKU SABA!
Ana tabia za kikekike Sana huyo ngereza Anapenda kujilizaliza Sana hasa kwenye masuala yanayoihusu simba. Hajawahi kuja na hoja ya Maana tofauti na kuiponda simba.
 
Yaaah but Kocha ndiye anayependekeza aina ya wachezaji.....kutokana na uhitaji wake
Akifukuzwa akaja kocha mwingine wale wachezaji aliowapendekeza yeye nao wafukuzwe kwakuwa kocha anaekuja yeye pia hakuwapendekeza?
 
Basi mtapata taabu sana mkuu.....Yanga falsafa yao ni pira speed
Sasa kama ni pira spidi Mzee Chama Konokono ataweza kweli? Au kwakuwa wajinga ndio waliwao Mzee Chama Konokono kaja kujilia tu pensheni yake ya uzeeni kwa wajinga Kisha asepe zake ?
 
Akifukuzwa akaja kocha mwingine wale wachezaji aliowapendekeza yeye nao wafukuzwe kwakuwa kocha anaekuja yeye pia hakuwapendekeza?
Kocha mgeni anaweza kuwa shape wachezaji according to jinsi anavyotaka .......but kama imeshindikana basi atawapa thank you

Refer issue ya Chama na robertinho
 
Sasa kama ni pira spidi Mzee Chama Konokono ataweza kweli? Au kwakuwa wajinga ndio waliwao Mzee Chama Konokono kaja kujilia tu pensheni yake ya uzeeni kwa wajinga Kisha asepe zake ?
Ata adopt...mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…