Alex ngereza: Simba wamecopy jezi Kwa Azam

Alex ngereza: Simba wamecopy jezi Kwa Azam

Kuna jipya dunia hii?Anajua hata maneno aliyotoa huyo "Gereza sijui Mgereza",ni maneno ambayo hajaanza kutoa yeye!?
Na kwa kueleza hivyo,ana ushahidi upi kwamba Azam ndiyo walioanza kuitengeneza aina hiyo ya jezi?Alikuwa kiwandani?
ANGALIZO:Siyo wa kwanza kuionesha jezi hadharani.Ni kuhusu wa kwanza kuibuni na kuitengeneza kiwandani.
Katoa ushauri..

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom