Alexander Lukashenko: Nilijitahidi kumshawishi Prigozhin

Alexander Lukashenko: Nilijitahidi kumshawishi Prigozhin

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,026
Reaction score
2,266
Raisi wa Belarus anasema:

"Nilikuwa nikijaribu kumshawishi [Prigozhin] kwa muda mrefu. Mwishowe nilisema: 'Unajua, unaweza kufanya chochote unachotaka. Lakini usinichukie (kwa nitakacho kifanya ).

Kikosi kimetayarishwa kwa ajili ya kupelekwa Moscow tutaitetea Moscow kama tulivyoifanya mwaka 1941,unasoma vitabu wewe ni mtu mwenye elimu na akili kwa sababu hali hii inaathiri zaidi ya Urusi sio tu kwa sababu ni nchi baba yetu(Father land).

Bali kwa sababu mungu apishe mbali kama machafuko haya yangetokea yangeenea Urusi kote na sisi tungefuata."
 
Raisi wa Belarus anasema:

"Nilikuwa nikijaribu kumshawishi [Prigozhin] kwa muda mrefu. Mwishowe nilisema: 'Unajua, unaweza kufanya chochote unachotaka. Lakini usinichukie (kwa nitakacho kifanya ).

Kikosi kimetayarishwa kwa ajili ya kupelekwa Moscow tutaitetea Moscow kama tulivyoifanya mwaka 1941,unasoma vitabu wewe ni mtu mwenye elimu na akili kwa sababu hali hii inaathiri zaidi ya Urusi sio tu kwa sababu ni nchi baba yetu(Father land).

Bali kwa sababu mungu apishe mbali kama machafuko haya yangetokea yangeenea Urusi kote na sisi tungefuata."
Mkuu leta original yake kwa kiingereza tafsiri yako ya kiswahili hakijaka sawa
 
Warusi wameona jua gafla, tayari walishazoea mashimo kama panya, sasa hivi kila moja anaandika alichokiona huko shimoni
 
Back
Top Bottom