Link mbona hiafanyi kazimnaoulizia link: www.hesgoal.tv
Tatizo lake hana ile killer instinct. Yaani yupo yupo tu...Mikanda mitatu on the line anapigana kizembe tu ...AJ ni MANDONGA MTUPU
Hakuwa overated, ila style yake iliwafanya maboxer wa kipindi iko waonekane wa kawaida, alikuwa ni anavagaaTatizo lake hana ile killer instinct. Yaani yupo yupo tu...
Ndo maana Mike Tyson atabakia kuwa boksa aliyependwa sana na welewa masumbwi. Yaani akikiwasha amekiwasha utafikiri umemchapia demu wake. Hata wanaodai kuwa alikuwa overrated lakini style yake ya upiganaji ilikuwa moto sana...
View attachment 2329946
Joshua huwa anapigwa game ya kwanza ili kutengeneza pesa.Game ya kwanza alimpigaje?
Kibaya zaidi Furry kastahafu, nilitaman sana Furry Vs UskyJosh He needs to grow up, Ana Utoto mwingi sana
Hii sio kiki hata kidogo. Anaelekea kuwa kama Deontay Wilder sasa. Kimchezo Joshua ameshuka sana. Kabaki kuwa 'byuti byuti' tuuu
.
Mimi namfananisha na Gulio Katerero [emoji3]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usky anapigwa na wilder mapema tuKibaya zaidi Furry kastahafu, nilitaman sana Furry Vs Usky
Joshua ni bondia wa kawaida sana tena zaid ya sana
Mkuu Tyson wakati akiwa at his prime was the bestTatizo lake hana ile killer instinct. Yaani yupo yupo tu...Mikanda mitatu on the line anapigana kizembe tu ...
Ndo maana Mike Tyson atabakia kuwa boksa aliyependwa sana na waelewa masumbwi. Yaani akikiwasha amekiwasha utafikiri umemchapia demu wake. Hata wanaodai kuwa alikuwa overrated lakini style yake ya upiganaji ilikuwa moto sana...
View attachment 2329946
James "Lights Out" Toney anafananishwa na Floyd Mayweather kwa defense. Alikuwa mzuri sana lakini huwezi kumlinganisha na Tyson maana yeye alianzia huko Cruiserweight na Middleweight. Amekuja kuingia Heavyweight miaka imeshaenda. Angeanzia kwenye heavyweight angekuwa hatari sana...Mkuu Tyson wakati akiwa at his prime was the best
Ila usipo jali fwatilia mtu wa kazi James toney
Kwangu mie alikuwa beyond mike
Ni promotion tuu ilikuwa low