Spain walichukua kombe la dunia wakiwa na wachezaji wenye miili midogo, miili sio tatizo ni kujipanga tu kiufundiHivi hili la sisi waTZ kuwa na vijiumbo vidogovidogo hatuwezi lifanyia kazi? Ni lishe? Kukosa madini fulani? Kukosa vichocheo fulani mwilini? Au ndio turidhike kuwa Muumba ndicho alichotujaalia. Bila shaka linajadilika bila kukufuru.
Hili tatizo chanzo chake ni fimbo mashuleni tunahitaji suluhishoKama mpira ni maumbo basi wangekuwa mabingwa wa dunia, ila kwenye world cup huwa wanapigwa kama wamesimama vile. Acha uoga mkuu.
Tatizo letu ni kutokujiamini. jana wakati tunatazama mechi nilikaa na jamaa ambaye kila mara alikuwa anasema tu tunafungwa tunafungwa. Kwakweli nilitamani nimzabe makofi lakini nilichojifunza ni kuwa watanzania tunatatizo la kutokujiamini.
Spain walichukua kombe la dunia wakiwa na wachezaji wenye miili midogo, miili sio tatizo ni kujipanga tu kiufundi
Algeria tuliwahi kuwakazia kwao tukadroo..Kocha wao akafukuzwa kazi. ..Watu hawaelewi mpira wa Africa tofauti sana na Ulaya ..huku physical battle ni kubwa sana. .ili timu iwe imara unatakiwa uwe na wachezaji Sita mpaka saba kwenye kikosi wana zaidi ya futi Sita urefu..
ukiwa na umbo dogo inatakiwa uwe na kipaji, akili na nguvu za mwili, sasa wachezaji wetu wana maumbo madogo na akili ya mpira hawana hapo ndio shida inapotokea
Ufupi sio tatizo kwamchezaji,opponent wako akiwa mrefu we tambaza chini mpira.,akiwa namwili mkubwa,wewe punguza uzito na usigusane naye pia pigapasi nyingi kimbiza kama barca lazima aombe maji.nyama ya MTU sionguvu,mfupa ndompango mzima gym sana piga,tatzo wachexaji wamegoma kuifanya stars tawi lamzimuni ccm
Na matokeo baadae yakawaje?Kama mpira ni maumbo basi wangekuwa mabingwa wa dunia, ila kwenye world cup huwa wanapigwa kama wamesimama vile. Acha uoga mkuu.
Tatizo letu ni kutokujiamini. jana wakati tunatazama mechi nilikaa na jamaa ambaye kila mara alikuwa anasema tu tunafungwa tunafungwa. Kwakweli nilitamani nimzabe makofi lakini nilichojifunza ni kuwa watanzania tunatatizo la kutokujiamini.
vinacheza kama vinavyocheza ..ndio maana soka leo lipo vile!Miili mikubwa nayo mara nyingine ni genetics tu! Vichina vifupi kama nyundo huwa vinachezaje mpira!?
Algeria ni watuAlgeria wakitufunga goal chache basi lazma tuondoke na 6, hawa jamaa naskia wakiwa wanakimbia wakipita karibu na ww unaweza kuangushwa na ule upepo, wachezaji watu wamezoea kula wali na dangaa wa buku jero, ngoja wakakutane na vipisi vya watu huko