Unajua soko kubwa la hao China na India lilipo au unaongea tu ukishatoka kufuturu.Acha kupiga ramli chonganishi.
Ulaya Kununua gas ya Nigeria nk na China +India kununua gesi ya Russia kwa bei poa maana yake China na India zitanufaika kiuchumi kushindana na Ulaya na Russia atakuwa na soko la uhakika, kumbuka India +china ni takriban watu 3 bilions.-- na hakuna nchi inayoweza kuwapangia China na India.
Hakuna atakayekubali kubali na Russia. Hili taifa la Russia litaenda kupasuka taratibu.Hii changamoto ya gesi ni kwa hii miaka miwili tu ijayo, kufikia mwaka 2025 tayari Ulaya itakuwa imeshajitosheleza kwa gesi na shida itakuwa kwa Russia ambaye atakuwa amepoteza soko la uhakika.
Russia atabaki kuwauzia China na India kwa bei ya kutupa na ndipo nchi za magharibi wataziambia China na India wachague moja wa kufanya naye biashara kati yao au Russia lkn sio wote wawili.
Asipokuelewa hapa nakushauri achana naye.soko kubwa duniani kwa maana ya wanunuaji wa bidhaa zilizo nyingi wenye hela na walio tayar kulipa bei nzuri lipo nchi za magharibi, kwa hiyo china na india ni sawa watanunua gesi na mafuta kwa bei ya kutupa toka urusi (na hapa ina maana urusi anapoteza mapato! maana anauza kwa bei chee) ikitokea nchi za magharibi wakasusia bidhaa za china na india kwa kuwa zimetengenezwa kwa kutumia chanzo cha nishati toka russia tayari china na india watapoteza mapato makubwa sana . China na India ni kweli ni soko kubwa kwa maana ya wingi wa watu lakini si kila bidhaa wahindi wachina wanaweza nunua kwa wingi au kuwa tayai kulipa bei kubwa maana watu hawana vipato vikubwa kulinganisha na nchi za magharibi. China alipigwa msukosuko kwenye huawei na US mpaka huawei wakaanza kufuga nguruwe! usicheze na nchi za magharibi so china na india bado sana kutopangiwa na nchi za magharibi maana soko kubwa na high tech kwa kiasi kikubwa ipo west. Urusi pamoja na kuwa na mafuta na gesi but kwenye uchimbaj na usafirishaji nchi za magharibi wanahusika sana kutoa teknolojia na fedha kwa mfano turbines, valves na spare zingine zinatoka magharibi kwenye kampuni bora kabisa duniani kama siemens ya germany. Nchi za magharibi kwa umoja wao zikikaza si india wala china inayoweza kushindana nazo. Juzi juzi China kasanda kuhusu ziara ya Nancy Pelosi kwenda Taiwan. China anashindwa kuuzia urusi baadhi ya bidhaa mfano spares za magari mfano ABS, maana anaogopa vikwazo vya nchi za magharibi matokeo yake kwa aibu lada anatengeneza gari hazina ABS
Huna akili kuwaza hivyoHakuna atakayekubali kubali na Russia. Hili taifa la Russia litaenda kupasuka taratibu.
Unajua soko kubwa la hao China na India lilipo au unaongea tu ukishatoka kufuturu.
Labda boloharam wawewameondolewa na mmarekani [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jameni aliyemshauri Putin kuchokonoa nyuki sidhani kama atasamehewa......
To move away from relying on Russian energy, the European Union are increasingly turning to Africa for natural gas imports — and Algeria, Niger and Nigeria are looking to cash in.
Algeria, Niger and Nigeria signed a memorandum of understanding on Thursday to build a 4,000-kilometer (2,500-mile) Trans-Saharan Gas Pipeline.
Algeria's Energy Ministry said the natural gas pipeline would stretch across the Sahara desert.
It is estimated that, once the $13 billion (€12.75 billion) pipeline is complete, it will transport up to 30 billion cubic meters (1 trillion cubic feet) of gas annually from Nigeria, in West Africa, north through Niger and on to Algeria.
From there, it could be pumped through the undersea
Yaani ktk wasiojua wewe ni wa kwanza, hujui hata sababu ya mataifa ya magharibi kuwekeza Asia na hasa China. Ngoja nikuache kwani usiamshe aliyelala.Soko kubwa limo ndani ya nchi zao wenyewe, china wapo zaidi ya 1.7 billion, India nao ni zaidi ya 1. Something bn, kwa idadi ya hao watu ndio maana nchi za magharibi zinawekeza viwanda vyao huko kwa ajili ya soko la huko na cheap labour, wewe hujui hilo??, changia kabla ya kunywa ulabu.
Yaani ktk wasiojua wewe ni wa kwanza, hujui hata sababu ya mataifa ya magharibi kuwekeza Asia na hasa China. Ngoja nikuache kwani usiamshe aliyelala.