Alhaj Adam Kimbisa - CCM imekosa mvuto, kimechoka

Alhaj Adam Kimbisa - CCM imekosa mvuto, kimechoka

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869

Alhaj Adam Kimbisa - CCM imekosa mvuto, kimechoka​




Mwanachama mkongwe Alhaj
Adam Kimbisa akitoa ushahidi wa CCM mkoa wa Dodoma kuishiwa pumzi ni takwimu za kura za urais 2015 mkoa wa Dodoma ulikuwa wa pili Tanzania kwa kupiga idadi kubwa kura kwa mgombea wa urais wa CCM .

Lakini uchaguzi wa mkuu wa mwaka 2020 mkoa wa Dodoma umekuwa wa 23 kwa idadi ya kura walizompa mgombea wa urais hivyo kuteleza kutoka nafasi ya juu mwaka 2015.

Hali hiyo Alhaj Kimbisa anasema kimekosa mvuto na kukosa afya ya kisiasa hivyo kuna hatari CCM ikadumaa zaidi
 
Nimekumbuka mengi'neyo
FB_IMG_1669017027790.jpg
 
Mbona hawasemi ukweli 2020 hakukua na uchaguzi
Kusingekuwa na uchaguzi 2020 dodoma ingeongoza kwa kura.

Lakini unaambiwa ilikuwa namba 23, na hii ilitokana na uhamiaji wa watumishi wa serikali ambao wengi wao walikuwa hawampendi Magu kwa sababu ya maslahi, kushurutishwa kutimiza wajibu wao, kukata mianya ya rushwa na dili.

Ilifika mahali watumishi wa serikali ambao wanasemaga serikalini ni mahali salama wakawa wansema serikalini si mahali salama kufanya kazi kipindi cha Magu.

Kwa hiyo kilichozungumzwa ni uhalisia kabisa .
 
Kusingekuwa na uchaguzi 2020 dodoma ingeongoza kwa kura.

Lakini unaambiwa ilikuwa namba 23, na hii ilitokana na uhamiaji wa watumishi wa serikali ambao wengi wao walikuwa hawampendi Magu kwa sababu ya maslahi, kushurutishwa kutimiza wajibu wao, kukata mianya ya rushwa na dili.

Ilifika mahali watumishi wa serikali ambao wanasemaga serikalini ni mahali salama wakawa wansema serikalini si mahali salama kufanya kazi kipindi cha Magu.

Kwa hiyo kilichozungumzwa ni uhalisia kabisa .
Acha uongo!! Sema tu wasomi wameongezeka DOM so automatically kura za CCM zitashuka. Nakumbuka Nyalandu aliwahi kusema Kuna wanachama laki 1 wa Chadema walikua Dar ila wapo Dodoma Mjini kwa Sasa Ina maana mji umekua na umeleta watu wa maeneo yote Tanzania.

Uchaguzi ukiwa huru na haki natarajia kufikia 2030 Dodoma itakua opposition stronghold kama Ilivyo Nairobi, Kampala, Harare, Capetown na miji mingine mikubwa Africa.
 
Acha uongo!! Sema tu wasomi wameongezeka DOM so automatically kura za CCM zitashuka. Nakumbuka Nyalandu aliwahi kusema Kuna wanachama laki 1 wa Chadema walikua Dar ila wapo Dodoma Mjini kwa Sasa Ina maana mji umekua na umeleta watu wa maeneo yote Tanzania.

Uchaguzi ukiwa huru na haki natarajia kufikia 2030 Dodoma itakua opposition stronghold kama Ilivyo Nairobi, Kampala, Harare, Capetown na miji mingine mikubwa Africa.
Kwa hiyo mikoa mingine haina wasomi? Yaani hiyo namba 1 mpak 22 haina wasomi.? Akili za double kick bwana.
 
Haa Huyu Tutampa Adhabu Gani Jamani
Ccm Imechachamaliwa Na Wana Ccm Wenyewe
Inararuliwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Alhaj Adam Kimbisa - CCM imekosa mvuto, kimechoka​




Mwanachama mkongwe Alhaj
Adam Kimbisa akitoa ushahidi wa CCM mkoa wa Dodoma kuishiwa pumzi ni takwimu za kura za urais 2015 mkoa wa Dodoma ulikuwa wa pili Tanzania kwa kupiga idadi kubwa kura kwa mgombea wa urais wa CCM .

Lakini uchaguzi wa mkuu wa mwaka 2020 mkoa wa Dodoma umekuwa wa 23 kwa idadi ya kura walizompa mgombea wa urais hivyo kuteleza kutoka nafasi ya juu mwaka 2015.

Hali hiyo Alhaj Kimbisa anasema kimekosa mvuto na kukosa afya ya kisiasa hivyo kuna hatari CCM ikadumaa zaidi

Huyu ni mla rushwa tu hana lolote
 
Kusingekuwa na uchaguzi 2020 dodoma ingeongoza kwa kura.

Lakini unaambiwa ilikuwa namba 23, na hii ilitokana na uhamiaji wa watumishi wa serikali ambao wengi wao walikuwa hawampendi Magu kwa sababu ya maslahi, kushurutishwa kutimiza wajibu wao, kukata mianya ya rushwa na dili.

Ilifika mahali watumishi wa serikali ambao wanasemaga serikalini ni mahali salama wakawa wansema serikalini si mahali salama kufanya kazi kipindi cha Magu.

Kwa hiyo kilichozungumzwa ni uhalisia kabisa .
Machakachuzi ya kura full stop
 
Kwa hiyo mikoa mingine haina wasomi? Yaani hiyo namba 1 mpak 22 haina wasomi.? Akili za double kick bwana.
Yes matokeo ya 2015 nadhani uliona majiji yote makubwa yalienda UKAWA kwa ufupi urban centers zote huwa zinachagua upinzani na hii ni dunia nzima maana ndio huwa na wasomi na wenye vipato kuliko maeneo mengine kwenye nchi.

Kama wizi wote ule wa kura ila bado Dodoma ikawa ya 23 kwa kura Ina maana kufikia 2030 CCM inaweza kufutwa kabisa Dodoma kama ilivyofutika Dar kuanzia 2015!!
 
Back
Top Bottom