Alhaj Adam Kimbisa - CCM imekosa mvuto, kimechoka

Alhaj Adam Kimbisa - CCM imekosa mvuto, kimechoka

Alhaj Adam Kimbisa - CCM imekosa mvuto, kimechoka​




Mwanachama mkongwe Alhaj
Adam Kimbisa akitoa ushahidi wa CCM mkoa wa Dodoma kuishiwa pumzi ni takwimu za kura za urais 2015 mkoa wa Dodoma ulikuwa wa pili Tanzania kwa kupiga idadi kubwa kura kwa mgombea wa urais wa CCM .

Lakini uchaguzi wa mkuu wa mwaka 2020 mkoa wa Dodoma umekuwa wa 23 kwa idadi ya kura walizompa mgombea wa urais hivyo kuteleza kutoka nafasi ya juu mwaka 2015.

Hali hiyo Alhaj Kimbisa anasema kimekosa mvuto na kukosa afya ya kisiasa hivyo kuna hatari CCM ikadumaa zaidi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Wamerudi !!!
 

Alhaj Adam Kimbisa - CCM imekosa mvuto, kimechoka​




Mwanachama mkongwe Alhaj
Adam Kimbisa akitoa ushahidi wa CCM mkoa wa Dodoma kuishiwa pumzi ni takwimu za kura za urais 2015 mkoa wa Dodoma ulikuwa wa pili Tanzania kwa kupiga idadi kubwa kura kwa mgombea wa urais wa CCM .

Lakini uchaguzi wa mkuu wa mwaka 2020 mkoa wa Dodoma umekuwa wa 23 kwa idadi ya kura walizompa mgombea wa urais hivyo kuteleza kutoka nafasi ya juu mwaka 2015.

Hali hiyo Alhaj Kimbisa anasema kimekosa mvuto na kukosa afya ya kisiasa hivyo kuna hatari CCM ikadumaa zaidi

Hahahahaha mbona mmeanza mapema?
 
Imekosa mvuto CCM,mpaka Chadema ikafanikwa kupata Mbunge mmoja. Adam Kimbisa ana nia mbaya na nchi hii.
 
Kusingekuwa na uchaguzi 2020 dodoma ingeongoza kwa kura.

Lakini unaambiwa ilikuwa namba 23, na hii ilitokana na uhamiaji wa watumishi wa serikali ambao wengi wao walikuwa hawampendi Magu kwa sababu ya maslahi, kushurutishwa kutimiza wajibu wao, kukata mianya ya rushwa na dili.

Ilifika mahali watumishi wa serikali ambao wanasemaga serikalini ni mahali salama wakawa wansema serikalini si mahali salama kufanya kazi kipindi cha Magu.

Kwa hiyo kilichozungumzwa ni uhalisia kabisa .
Mambo mengine mtumiage akili Wajameni msikubali kila mnachoambiwa. Mnataka kusema Kaskazini Pemba walimpigia wengi kuliko Dodoma?
 
Kusingekuwa na uchaguzi 2020 dodoma ingeongoza kwa kura.

Lakini unaambiwa ilikuwa namba 23, na hii ilitokana na uhamiaji wa watumishi wa serikali ambao wengi wao walikuwa hawampendi Magu kwa sababu ya maslahi, kushurutishwa kutimiza wajibu wao, kukata mianya ya rushwa na dili.

Ilifika mahali watumishi wa serikali ambao wanasemaga serikalini ni mahali salama wakawa wansema serikalini si mahali salama kufanya kazi kipindi cha Magu.

Kwa hiyo kilichozungumzwa ni uhalisia kabisa .

..inawezekana pia matokeo ni ya kupika ndio maana hayaakisi mazoea ya upigaji kura ya wananchi wa Dodoma.
 
Ni CCM au ni mtoa kauli ama vyote? Watu wa aina hii wanarudi kwa sababu ipi kwenye uongozi? Uchaguzi wa CCM na sura za baadhi ya wachaguliwa inaonesha yuko mtu anapanga safu ya watu wake ili baadaye muhusika aweze kwa uhakika zaidi kukiendesha chama na serikali yake kama vile kusukuma mlevi tu.
 
Back
Top Bottom