Alhaji Juma Kapuya naye ni shehe wa Bagamoyo?

Alhaji Juma Kapuya naye ni shehe wa Bagamoyo?

huyo sheikh wa kwanza alinunuliwa kanzu na huyu wa pili kanunuliwa kitenge. apa wamepewa simu na pesa sh laki moja tu. condom at use
 


Namuona Mbunge wa Kariua kwa mbali akiwa kati ya Mashehe wa Bagamoyo walioenda kwa Lowassa jana kumshawishi achukue form yakugombea urais na kumchangia sh 700,000. Hivi Mzee Kapuya naye ni shehe wa Bagamoyo?
Ccm kwa ulaghai wameshindikana, ina maana huyu Lowasa mwaka 2015 alishawishiwa kugombea?

Basi hata mzee Wasira naye alishawishiwa kugombea tena Bunda.
 
Back
Top Bottom