Namuona Mbunge wa Kariua kwa mbali akiwa kati ya Mashehe wa Bagamoyo walioenda kwa Lowassa jana kumshawishi achukue form yakugombea urais na kumchangia sh 700,000. Hivi Mzee Kapuya naye ni shehe wa Bagamoyo?
Namuona Mbunge wa Kariua kwa mbali akiwa kati ya Mashehe wa Bagamoyo walioenda kwa Lowassa jana kumshawishi achukue form yakugombea urais na kumchangia sh 700,000. Hivi Mzee Kapuya naye ni shehe wa Bagamoyo?