kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Leo kama goli lingerudi angemezwa timu ameirudisha nyuma mapema sana dk 25 ni nyingi kwa timu zenye wabunifu huu mtindo wa mwalimu kujilinda kwa kutia mabeki wengi anakosea sana ni vyema timu imeshinda watu hawakuiona tena hayo mapungufu.
Tunakwenda afcon atakutana na Misri au senegal kwa mpango wake ule tunapigwa tu!
Alhamdulilah tumeshinda!
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Tunakwenda afcon atakutana na Misri au senegal kwa mpango wake ule tunapigwa tu!
Alhamdulilah tumeshinda!
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024