Alhamdulilah tumeshinda tumegubikwa na gumbizi la ushindi ila Morroco asirudue tena kupaki basi mapema zikiwa zimebaki dk 25

Alhamdulilah tumeshinda tumegubikwa na gumbizi la ushindi ila Morroco asirudue tena kupaki basi mapema zikiwa zimebaki dk 25

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Leo kama goli lingerudi angemezwa timu ameirudisha nyuma mapema sana dk 25 ni nyingi kwa timu zenye wabunifu huu mtindo wa mwalimu kujilinda kwa kutia mabeki wengi anakosea sana ni vyema timu imeshinda watu hawakuiona tena hayo mapungufu.
Tunakwenda afcon atakutana na Misri au senegal kwa mpango wake ule tunapigwa tu!
Alhamdulilah tumeshinda!
Baada ya goli, mpira ulikuwa huna ladha.

ROHO MKONIK
 
Alifanya hadi nikamkumbuka Arajiga
 
kweli kabisa..kocha upo kwenu, unaongoza kagori kamoja alafu unaingiza mabeki unatoa washambuliaji..hako kagori wangerudisha nani angepambana kufunga tena wakati unatoa washambuliaji?? Kocha hapa alizingua sana..mpira ukabadilika wakawa wanakuja tu muda wote...hiyo mbinu ya kizamani abadili tu asipaki timu nyuma..na wala asiogope matusi ya watanzania
 
Nisiwe mnafiki mimi sina imani na huyu kocha hasa kwa sababu zake za kutokumiata Msuva na Samata kwenye timu ya Taifa hadi wadau walipopaza sauti, tumeuona mchango wa Samata na Msuva.
 
Nisiwe mnafiki mimi sina imani na huyu kocha hasa kwa sababu zake za kutokumiata Msuva na Samata kwenye timu ya Taifa hadi wadau walipopaza sauti, tumeuona mchango wa Samata na Msuva.
Tumsamehe chuki zake ujivuni na uoga wa kufundisha maprofesho ndicho kilichomgharimu ila amejifunza!
 
kweli kabisa..kocha upo kwenu, unaongoza kagori kamoja alafu unaingiza mabeki unatoa washambuliaji..hako kagori wangerudisha nani angepambana kufunga tena wakati unatoa washambuliaji?? Kocha hapa alizingua sana..mpira ukabadilika wakawa wanakuja tu muda wote...hiyo mbinu ya kizamani abadili tu asipaki timu nyuma..na wala asiogope matusi ya watanzania
Muoga sana amekariri hataki kwenda na muda!
 
Leo kama goli lingerudi angemezwa timu ameirudisha nyuma mapema sana dk 25 ni nyingi kwa timu zenye wabunifu huu mtindo wa mwalimu kujilinda kwa kutia mabeki wengi anakosea sana ni vyema timu imeshinda watu hawakuiona tena hayo mapungufu.

Tunakwenda afcon atakutana na Misri au senegal kwa mpango wake ule tunapigwa tu!

Alhamdulilah tumeshinda!

Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Dah hatari sana, alizingua. Tushukuru tumefuzu.
 
Leo kama goli lingerudi angemezwa timu ameirudisha nyuma mapema sana dk 25 ni nyingi kwa timu zenye wabunifu huu mtindo wa mwalimu kujilinda kwa kutia mabeki wengi anakosea sana ni vyema timu imeshinda watu hawakuiona tena hayo mapungufu.

Tunakwenda afcon atakutana na Misri au senegal kwa mpango wake ule tunapigwa tu!

Alhamdulilah tumeshinda!

Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Bahati yao jana Baltazar hakuwa na mzuka
 
Back
Top Bottom