kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Baada ya goli, mpira ulikuwa huna ladha.Leo kama goli lingerudi angemezwa timu ameirudisha nyuma mapema sana dk 25 ni nyingi kwa timu zenye wabunifu huu mtindo wa mwalimu kujilinda kwa kutia mabeki wengi anakosea sana ni vyema timu imeshinda watu hawakuiona tena hayo mapungufu.
Tunakwenda afcon atakutana na Misri au senegal kwa mpango wake ule tunapigwa tu!
Alhamdulilah tumeshinda!
Presha inapanda, presha inashuka, kitambi kinaporomokaBaada ya goli, mpira ulikuwa huna ladha.
ROHO MKONIK
Hata pasi tatu hatuwezi kupiga!Baada ya goli, mpira ulikuwa huna ladha.
ROHO MKONIK
Hata lile goli la aina nyingine ndo hivo hivo tu ...ukishafunga..mzuka unakataBaada ya goli, mpira ulikuwa huna ladha.
ROHO MKONIK
High work rate players can defeat highly trained playersTim yetu pia bado inahitaji maboresho
Umenena vyema hili ni muhimu kufanyiwa kazi!Tim yetu pia bado inahitaji maboresho
Tumsamehe chuki zake ujivuni na uoga wa kufundisha maprofesho ndicho kilichomgharimu ila amejifunza!Nisiwe mnafiki mimi sina imani na huyu kocha hasa kwa sababu zake za kutokumiata Msuva na Samata kwenye timu ya Taifa hadi wadau walipopaza sauti, tumeuona mchango wa Samata na Msuva.
Muoga sana amekariri hataki kwenda na muda!kweli kabisa..kocha upo kwenu, unaongoza kagori kamoja alafu unaingiza mabeki unatoa washambuliaji..hako kagori wangerudisha nani angepambana kufunga tena wakati unatoa washambuliaji?? Kocha hapa alizingua sana..mpira ukabadilika wakawa wanakuja tu muda wote...hiyo mbinu ya kizamani abadili tu asipaki timu nyuma..na wala asiogope matusi ya watanzania
Nimeangalia mapungufu yake mpira hauchezwi chumbani!Kwa hiyo wrwe unajua kuliko Morocco
Umemaliza!The best way to defend is to possess the ball
–pep Guardiola –
Dah hatari sana, alizingua. Tushukuru tumefuzu.Leo kama goli lingerudi angemezwa timu ameirudisha nyuma mapema sana dk 25 ni nyingi kwa timu zenye wabunifu huu mtindo wa mwalimu kujilinda kwa kutia mabeki wengi anakosea sana ni vyema timu imeshinda watu hawakuiona tena hayo mapungufu.
Tunakwenda afcon atakutana na Misri au senegal kwa mpango wake ule tunapigwa tu!
Alhamdulilah tumeshinda!
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Watu wangejutia nauli zao!Dah hatari sana, alizingua. Tushukuru tumefuzu.
Bahati yao jana Baltazar hakuwa na mzukaLeo kama goli lingerudi angemezwa timu ameirudisha nyuma mapema sana dk 25 ni nyingi kwa timu zenye wabunifu huu mtindo wa mwalimu kujilinda kwa kutia mabeki wengi anakosea sana ni vyema timu imeshinda watu hawakuiona tena hayo mapungufu.
Tunakwenda afcon atakutana na Misri au senegal kwa mpango wake ule tunapigwa tu!
Alhamdulilah tumeshinda!
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024