Dah....how did you do it....
Hongereni sanaaaaaaaaaaaa
hahahahahaha haya wangu ahsante kwa maombi yako natumai ntampata
WanaJf amani iwe kwenu,
Sasa nimeamini mke bora waweza mpata hata Jf ukimuomba Mungu.
Mimi nimempata na sasa ni mwezi tangu tufunge ndoa.
Namuomba Mungu azidi kuilinda ndoa yetu.
Vipi tukupe na mke wa pili....
WanaJf amani iwe kwenu,
Sasa nimeamini mke bora waweza mpata hata Jf ukimuomba Mungu.
Mimi nimempata na sasa ni mwezi tangu tufunge ndoa.
Namuomba Mungu azidi kuilinda ndoa yetu.
Kila la heri katika ndoa yako mkuu
Hongereni vicheche wa jfhongera miss chagga kwa kupata mme
3 yrs back..Hongereni vicheche wa jf
CC; miss chagganaomba usiwe na hofu na kauli yangu nilichoandika ni kweli
Nani kicheche?Hongereni vicheche wa jf