Alhamulilah mada za ujenzi zimeanza kutamalaki jukwaani

Alhamulilah mada za ujenzi zimeanza kutamalaki jukwaani

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Ijumaa Kareem! Niwasalimu katika mchakato wa katiba mpya! Katiba ya wananchi sio ya chama chakavu..!!!

Mwenyezi Mungu ametufanyia wepesi! InshaAllah..![emoji1545]hatuna cha kumlipa..! Kuna mabadiliko makubwa, biashara zinafunguliwa! Site zilizododa zinafufuka! Mada za ujenzi zinarejea jukwaani hasa kwenye jukwaa la ujenzi hapa JF na mitandaoni...Mungu ni mwema wakati wote
. Sasa wananchi wanaanza kuulizia ramani za ujenzi
. Sasa wananchi wanaanza kuulizia bei ya viwanja
. Sasa wananchi waanza kuulizia bei za malighafi, gharama za mafundi nk..!
. Sasa Wananchi wanaanza kutangaza kwa nguvu huduma zao kwenye sekta ya ujenzi..!

Yangu ni haya!
Hii hali tunayopitia ni sawa na mahututi kuanza kupata nafuu...!!! Sasa katika hatua hii washauri wabaya na wapigaji hawakosekani.. Naomba ridhaa ya kutoa mchango wangu na ushauri.. Una haki kamili ya kuuchukua ama kuupuuza!
Nakuja na full package! Naomba subra yako.
 
1625243592211.png
 
Lakini hata kabla Magufuli hajafariki kuna wakati kulikuwa na upungufu mkubwa wa cement, vijiwe vyote vya ufyatuaji tofari viliendelea na kazi kama kawaida. Labda tofari na cement vilikuwa vinatumika kwa kazi nyingine na si ujenzi!
 
Ukame hata utudumu kwa miaka 100, siku ikinyesha hata milimani tu, maji yatapita kwenye njia zile zile.

Tatizo tulilonalo ni kudhani Dar es salaam = Tanzania.

Niambie wangapi wameweza kumudu milo kamili 3 kwa siku? Wangapi wameachana na kutumia kuni? Wangapi wameacha kushea maji na mifugo? Hiyo Dar pekee yake, mmeshamalizana na road network?

Watanzania na hasa wa mijini, hawakopesheki kirahisi na taasisi za kifedha, kisa ni physical addresses, Dar yote imepimwa? Mtanzania aliyeomba hati ya nyumba mwaka 1999, ameipata jana!

Ujenzi wa nyumba umeanza? Ajabu kweli
 
Lakini hata kabla Magufuli hajafariki kuna wakati kulikuwa na upungufu mkubwa wa cement, vijiwe vyote vya ufyatuaji tofari viliendelea na kazi kama kawaida. Labda tofari na cement vilikuwa vinatumika kwa kazi nyingine na si ujenzi!
Lakini viwanja, nyumba na vifaa vingine vya ujenzi biashara iliyumba sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukame hata utudumu kwa miaka 100, siku ikinyesha hata milimani tu, maji yatapita kwenye njia zile zile.

Tatizo tulilonalo ni kudhani Dar es salaam = Tanzania.

Niambie wangapi wameweza kumudu milo kamili 3 kwa siku? Wangapi wameachana na kutumia kuni? Wangapi wameacha kushea maji na mifugo? Hiyo Dar pekee yake, mmeshamalizana na road network?

Watanzania na hasa wa mijini, hawakopesheki kirahisi na taasisi za kifedha, kisa ni physical addresses, Dar yote imepimwa? Mtanzania aliyeomba hati ya nyumba mwaka 1999, ameipata jana!

Ujenzi wa nyumba umeanza? Ajabu kweli
Mimi siishi Dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo unaamini miezi 3 imetosha kuwapa waja pesa za kujenga, ile walioshindwa kuipata miaka 5 iliyopita?

Kama ndio, basi tuna balaa kubwa boss, maana sio kutoboa bali itakuwa ukuta umedondoshwa.
Utafiti wangu umeanzia mitandaoni, halafu nikaja mkoa nilipo na mikoa mine niliyosafiri kati ya April na sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuendelee sasa
Natambua walau sasa wanazengo wanaanza kuwa na chochote kitu mifukoni, baada ya kutoa zile za matumizi ya lazima, matumizi muhimu na zile za matumizi ya hasara...!
Kwa wale ambao hawakuwa na site za kuendeleza wala viwanja ambavyo hawajavigusa kwenye ujenzi ni heri kufanya hivi
Sasa hivi kabla mambo hayabadilika sana, watu wanauza sana nyumba zisizokamilika... Ni vema kununua nyumba za namna hii na kufanya umaliziaji taratibu kuliko kuanza ujenzi mpya.. Hasa kama bajeti inabana
Ujenzi una changamoto nyingi sana, 20M kwenye ujenzi wa nyumba ya kawaida kabisa inaweza isikufikishe popote!
Kuna changamoto ya muda
Kuna changamoto ya usimamizi
Kuna changamoto ya mafundi nknk
Nitaendelea.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mzee alikubana mirija yenu ya easy money mkanyoka! Anyway chukueni tahadhali ipo siku tutapata chuma kingine
 
Ijumaa Kareem! Niwasalimu katika mchakato wa katiba mpya! Katiba ya wananchi sio ya chama chakavu..!!!

Mwenyezi Mungu ametufanyia wepesi! InshaAllah..![emoji1545]hatuna cha kumlipa..! Kuna mabadiliko makubwa, biashara zinafunguliwa! Site zilizododa zinafufuka! Mada za ujenzi zinarejea jukwaani hasa kwenye jukwaa la ujenzi hapa JF na mitandaoni...Mungu ni mwema wakati wote
. Sasa wananchi wanaanza kuulizia ramani za ujenzi
. Sasa wananchi wanaanza kuulizia bei ya viwanja
. Sasa wananchi waanza kuulizia bei za malighafi, gharama za mafundi nk..!
. Sasa Wananchi wanaanza kutangaza kwa nguvu huduma zao kwenye sekta ya ujenzi..!

Yangu ni haya!
Hii hali tunayopitia ni sawa na mahututi kuanza kupata nafuu...!!! Sasa katika hatua hii washauri wabaya na wapigaji hawakosekani.. Naomba ridhaa ya kutoa mchango wangu na ushauri.. Una haki kamili ya kuuchukua ama kuupuuza!
Nakuja na full package! Naomba subra yako.
Rubish!
 
Back
Top Bottom