Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ijumaa Kareem! Niwasalimu katika mchakato wa katiba mpya! Katiba ya wananchi sio ya chama chakavu..!!!
Mwenyezi Mungu ametufanyia wepesi! InshaAllah..![emoji1545]hatuna cha kumlipa..! Kuna mabadiliko makubwa, biashara zinafunguliwa! Site zilizododa zinafufuka! Mada za ujenzi zinarejea jukwaani hasa kwenye jukwaa la ujenzi hapa JF na mitandaoni...Mungu ni mwema wakati wote
. Sasa wananchi wanaanza kuulizia ramani za ujenzi
. Sasa wananchi wanaanza kuulizia bei ya viwanja
. Sasa wananchi waanza kuulizia bei za malighafi, gharama za mafundi nk..!
. Sasa Wananchi wanaanza kutangaza kwa nguvu huduma zao kwenye sekta ya ujenzi..!
Yangu ni haya!
Hii hali tunayopitia ni sawa na mahututi kuanza kupata nafuu...!!! Sasa katika hatua hii washauri wabaya na wapigaji hawakosekani.. Naomba ridhaa ya kutoa mchango wangu na ushauri.. Una haki kamili ya kuuchukua ama kuupuuza!
Nakuja na full package! Naomba subra yako.
Mwenyezi Mungu ametufanyia wepesi! InshaAllah..![emoji1545]hatuna cha kumlipa..! Kuna mabadiliko makubwa, biashara zinafunguliwa! Site zilizododa zinafufuka! Mada za ujenzi zinarejea jukwaani hasa kwenye jukwaa la ujenzi hapa JF na mitandaoni...Mungu ni mwema wakati wote
. Sasa wananchi wanaanza kuulizia ramani za ujenzi
. Sasa wananchi wanaanza kuulizia bei ya viwanja
. Sasa wananchi waanza kuulizia bei za malighafi, gharama za mafundi nk..!
. Sasa Wananchi wanaanza kutangaza kwa nguvu huduma zao kwenye sekta ya ujenzi..!
Yangu ni haya!
Hii hali tunayopitia ni sawa na mahututi kuanza kupata nafuu...!!! Sasa katika hatua hii washauri wabaya na wapigaji hawakosekani.. Naomba ridhaa ya kutoa mchango wangu na ushauri.. Una haki kamili ya kuuchukua ama kuupuuza!
Nakuja na full package! Naomba subra yako.