Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Duuh! zamu yako itafika...Naona mzee alikubana mirija yenu ya easy money mkanyoka! Anyway chukueni tahadhali ipo siku tutapata chuma kingine
Ukitaka kujua habari za Tajiri, Muulize Masikini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh! zamu yako itafika...Naona mzee alikubana mirija yenu ya easy money mkanyoka! Anyway chukueni tahadhali ipo siku tutapata chuma kingine
Ukitaka kujua habari za Tajiri, Muulize Masikini[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Duuh! zamu yako itafika...
Ukitaka kujua habari za Tajiri, Muulize Masikini
Sijui unaishi dunia ya ngapi? Anyway inawezekana hujui hata demu uliyenaye anadalaliwa...!!!Naona mzee alikubana mirija yenu ya easy money mkanyoka! Anyway chukueni tahadhali ipo siku tutapata chuma kingine
ni the end cant justify the means
Swafiii tupe nasaha zako mkuuIjumaa Kareem! Niwasalimu katika mchakato wa katiba mpya! Katiba ya wananchi sio ya chama chakavu..!!!
Mwenyezi Mungu ametufanyia wepesi! InshaAllah..![emoji1545]hatuna cha kumlipa..! Kuna mabadiliko makubwa, biashara zinafunguliwa! Site zilizododa zinafufuka! Mada za ujenzi zinarejea jukwaani hasa kwenye jukwaa la ujenzi hapa JF na mitandaoni...Mungu ni mwema wakati wote
. Sasa wananchi wanaanza kuulizia ramani za ujenzi
. Sasa wananchi wanaanza kuulizia bei ya viwanja
. Sasa wananchi waanza kuulizia bei za malighafi, gharama za mafundi nk..!
. Sasa Wananchi wanaanza kutangaza kwa nguvu huduma zao kwenye sekta ya ujenzi..!
Yangu ni haya!
Hii hali tunayopitia ni sawa na mahututi kuanza kupata nafuu...!!! Sasa katika hatua hii washauri wabaya na wapigaji hawakosekani.. Naomba ridhaa ya kutoa mchango wangu na ushauri.. Una haki kamili ya kuuchukua ama kuupuuza!
Nakuja na full package! Naomba subra yako.
Natambua walau sasa wanazengo wanaanza kuwa na chochote kitu mifukoni, baada ya kutoa zile za matumizi ya lazima, matumizi muhimu na zile za matumizi ya hasara...!Swafiii tupe nasaha zako mkuu