katika siasa,Kati ya ccm na hivyo vya upinzani nani anaongoza kufanya siasa za kihuni? Kuna ofisi ngapi za vyama vya upinzani hasa chadema bila hatua zozote kuchukuliwa?
Embu acheni ujinga wenu
...'Mba mba mba'... Ina maana Serikali, vyombo vyake vya kisheria pamoja na vya ulinzi na usalama vimelala usingizi wa kukoroma hadi hawa chawa wahubiri uvunjifu wa amani hadharani mchana kweupe bila ya soni?Katibu wa Siasa na Uenezi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga amesema chama hicho kupitia jumuiya yake ya vijana (UVCCM) wamejipanga kujibu mapigo dhidi ya mtu yeyote wakiwemo makada wa vyama vya upinzani watakaotumia vibaya uhuru wa kufanya siasa kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine.
Bananga ameyasema hayo akihutubia mkutano wa hadhara Mwananyamala Kisiwani Kata ya Makumbusho jijini Dar es Salaam baada ya kupokea taarifa ya chama kimojawapo cha siasa (hakijatajwa jina) kuvunja jiwe la msingi la moja ya shina ya CCM ndani ya kata hiyo iliyoandaliwa kuzinduliwa na UVCCM Wilaya ya Kinondoni kupitia kampeni yao ya Kijana na Kijani.
Soma Pia: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Bananga ameongeza kuwa CCM kupitia UVCCM kitawalinda viongozi, wanachama wa CCM pamoja na mali za chama hicho kwa gharama za damu huku akisisitiza kuwa wako tayari kujibu mapigo ya kile alichokiita chokochoko za vyama vya upinzani kwa ‘staili’ ile ile watakayokuja nayo.
mihemko, ghadhabu na kuporomosha dhihaka ni mazoezi ya kuanza kuporomosha matusi....CCM hamna nguvu ya kuzungumzia siasa za hoja sababu hamuziwezi kabisa siasa za hoja.
Mnakimbia midahalo,mnatumia Polisi kusambaratisha upinzani.
Wewe kenge wa kijani unakuja kutaka siasa za hoja kweli?
ushirikiana, hadaa na utapeli wa vyama vya siasa hasa vya upinzani kwa wananchi hawezi kuwasaidia kisiasa au hata kushinda uchaguzi kamwe....C
hama cha kutekana na kupotezana....uvccm
Msajili wa vyama alitupunguza kasi...tumevua yale magwanda yetu ya GREEN GUARD....kwa sababu ya uelewa wangu kidogo...binafsi nilimpongeza kwani si tu sisi bali hata RED BRIGADE na BLUE GUARD...tumebakia na UVCCM tu...Katibu wa Siasa na Uenezi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga amesema chama hicho kupitia jumuiya yake ya vijana (UVCCM) wamejipanga kujibu mapigo dhidi ya mtu yeyote wakiwemo makada wa vyama vya upinzani watakaotumia vibaya uhuru wa kufanya siasa kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine.
Bananga ameyasema hayo akihutubia mkutano wa hadhara Mwananyamala Kisiwani Kata ya Makumbusho jijini Dar es Salaam baada ya kupokea taarifa ya chama kimojawapo cha siasa (hakijatajwa jina) kuvunja jiwe la msingi la moja ya shina ya CCM ndani ya kata hiyo iliyoandaliwa kuzinduliwa na UVCCM Wilaya ya Kinondoni kupitia kampeni yao ya Kijana na Kijani.
Soma Pia: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Bananga ameongeza kuwa CCM kupitia UVCCM kitawalinda viongozi, wanachama wa CCM pamoja na mali za chama hicho kwa gharama za damu huku akisisitiza kuwa wako tayari kujibu mapigo ya kile alichokiita chokochoko za vyama vya upinzani kwa ‘staili’ ile ile watakayokuja nayo.
Oya Maggot Mic haina sumu ?actually,
vyama vya siasa nchini ni vyema kufanya siasa za kistaarabu na kuheshimiana, vinginevyo ni kupoteza thamani na ladha ya siasa za hoja,
na kuna vyama,
havina uwezo wa siasa za fujo kwasabb pia ni dhaifu sana hata kwenye siasa za hoja tu 🐒
Kwa ccm ni KIJANAKwani naye ni kijana huyu
Kati ya vyama vya upinzani na CCM ni upande gani unaongoza kutekwa wafuasi wake?Kati ya ccm na hivyo vya upinzani nani anaongoza kufanya siasa za kihuni? Kuna ofisi ngapi za vyama vya upinzani hasa chadema bila hatua zozote kuchukuliwa?
Embu acheni ujinga wenu
Hizi kauli wala hazina afya kuwa uvccm sio kwamba wewe huwezi kukipata cha moto , kama kauli hizi watu wenye akili ndani ya ccm ,vyombo vya ulinzi vinashindwa kukemea , basi ruhusuni uvcc watangaziane vita na vijana wengine wa vyama pinzani kama uvcc hawataacha viatu barabarani.Katibu wa Siasa na Uenezi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga amesema chama hicho kupitia jumuiya yake ya vijana (UVCCM) wamejipanga kujibu mapigo dhidi ya mtu yeyote wakiwemo makada wa vyama vya upinzani watakaotumia vibaya uhuru wa kufanya siasa kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na viongozi wengine.
Bananga ameyasema hayo akihutubia mkutano wa hadhara Mwananyamala Kisiwani Kata ya Makumbusho jijini Dar es Salaam baada ya kupokea taarifa ya chama kimojawapo cha siasa (hakijatajwa jina) kuvunja jiwe la msingi la moja ya shina ya CCM ndani ya kata hiyo iliyoandaliwa kuzinduliwa na UVCCM Wilaya ya Kinondoni kupitia kampeni yao ya Kijana na Kijani.
Soma Pia: Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
Bananga ameongeza kuwa CCM kupitia UVCCM kitawalinda viongozi, wanachama wa CCM pamoja na mali za chama hicho kwa gharama za damu huku akisisitiza kuwa wako tayari kujibu mapigo ya kile alichokiita chokochoko za vyama vya upinzani kwa ‘staili’ ile ile watakayokuja nayo.
Mi nakupa Facts we wacheka chaka tuu nakuja na majibu ya taarabu.mihemko, ghadhabu na kuporomosha dhihaka ni mazoezi ya kuanza kuporomosha matusi....
muhimu kuzingati sheria katika kufanya siasa za hoja, malengo na mikakati kulingana na ratiba na mipango ya vyama husika,
huna sababu ya kua mnyonge kwasabb chama kingine kimegoma kua blackmailed na kua trapped na kingine,
siasa ni kujipanga my friend,
vyama vingine vina wabunge zaidi ya mia4 , chamba ambacho hakina hata diwani kinang"ang"ana eti kuwe na majadiliano nacho 🤣
vichekesho vingine bana vina tia huruma sana 🐒
hata hivyo,
ni muhimu zaidi saiasa za kistarabu na kuheshimiana ili kustawisha demokrasia nchini mwetu 🐒
jambo la maana zaidi ni siasa za kistaarabu na heshima,Mi nakupa Facts we wacheka chaka tuu nakuja na majibu ya taarabu.
Tuombe mdahalo live mimi na wewe hapa JF nikunyoe.
[emoji1787]Bananga kidevu kishaota MVI unajiita UVCCM au kwa kuwa bado MARIOOO?
Wapi amesema yeye ni UVCCM ?!!Bananga kidevu kishaota MVI unajiita UVCCM au kwa kuwa bado MARIOOO?
"Uvccm Tutalinda".Wapi amesema yeye ni UVCCM ?!!
Huyo ni mwenyekiti wa CCM mkoa kaka [emoji1787]
Kamsikilize ex DC wa longido kwanza kisha urudi hapa kujidanganya na sanduku la kura! Pia tafuta clip ya boss wako inayohusu upigaji kura kwamba hata upige kura ya hapana itahesabiwa ccm!ushirikiana, hadaa na utapeli wa vyama vya siasa hasa vya upinzani kwa wananchi hawezi kuwasaidia kisiasa au hata kushinda uchaguzi kamwe....
CCM itaendelea kushinda uchaguzi kwa kishindo kikuu kwa kufanya siasa za kistarabu na kuwaletea wananchi bila mbambamba yoyote 🐒