Ali Bananga: UVCCM tutalinda Chama, Wanachama na mali za CCM kwa gharama za damu zetu

Ali Bananga: UVCCM tutalinda Chama, Wanachama na mali za CCM kwa gharama za damu zetu

actually,
vyama vya siasa nchini ni vyema kufanya siasa za kistaarabu na kuheshimiana, vinginevyo ni kupoteza thamani na ladha ya siasa za hoja,

na kuna vyama,
havina uwezo wa siasa za fujo kwasabb pia ni dhaifu sana hata kwenye siasa za hoja tu šŸ’
Nimecheka kinoma, Bananga anasema ccm sijui viongozi wake watalindwa kwa damu, kwani hao ccm wana lolote ama wanategemea mbeleko ya vyombo vya dola? Mwambie vyombo vya dola vikae pembeni halafu alete hilo tumbo lake mbele kama hajafurahia show.
 
Nimecheka kinoma, Bananga anasema ccm sijui viongozi wake watalindwa kwa damu, kwani hao ccm wana lolote ama wanategemea mbeleko ya vyombo vya dola? Mwambie vyombo vya dola vikae pembeni halafu alete hilo tumbo lake mbele kama hajafurahia show.
jambo la maana zaidi ndrugu zabgi ni kuzingatia sheria na katiba ya nchi katika kufanya siasa nchini

ni vyema kuwa wangwana, wastaarabu na webye kuheshima maoni, mitazamo na hatimae maamuzi ya wananchi kwenye debe :NoGodNo:
 
Hii kauli ingetolewa na CHADEMA ungeona kuanzia msajili, BAKWATA, chawa wa CCM na polisi wanakemea haraka sn
 
Ikumbukwe kabla ya kuhamia CCM Ally Bananga alikuwa Kiongozi wa juu wa Chadema mkoani Arusha

CCM hainaga mambo ya Damu na ushahidi ni bendera yake

CCM na Jumuiya zake Wana uwezo mkubwa sana wa Kuwakabili Wapinzani kwa Hoja na hata Uhuru wa Nchi hii tuliutetea kwa Hoja na Siyo Vita ya umwagaji damu

Ni hilo tu

Ahsanteni Sana 🐼
 
Ikumbukwe kabla ya kuhamia CCM Ally Bananga alikuwa Kiongozi wa juu wa Chadema mkoani Arusha

CCM hainaga mambo ya Damu na ushahidi ni bendera yake

CCM na Jumuiya zake Wana uwezo mkubwa sana wa Kuwakabili Wapinzani kwa Hoja na hata Uhuru wa Nchi hii tuliutetea kwa Hoja na Siyo Vita ya umwagaji damu

Ni hilo tu

Ahsanteni Sana [emoji209]
Hakika....

Kwa hiyo kamarada Bananga anatuletea hoja za CHADEMA za siasa za vurugu za BAVICHA na RED BRIGADE....

Komredi Bananga akumbuke huku CCM tunaishi kwa hoja tu...kazi tu....hoja tu....

#Bila CCM imara nchi itayumba[emoji2956]
 
Acha fix, sema utalinda njaa kwa gharama yoyote ile.
 
Tutasikia matamko mengi sana kutoka kwa chawa wa mama kuelekea uchaguzi mkuu 2025.
 
Back
Top Bottom