Nimecheka kinoma, Bananga anasema ccm sijui viongozi wake watalindwa kwa damu, kwani hao ccm wana lolote ama wanategemea mbeleko ya vyombo vya dola? Mwambie vyombo vya dola vikae pembeni halafu alete hilo tumbo lake mbele kama hajafurahia show.actually,
vyama vya siasa nchini ni vyema kufanya siasa za kistaarabu na kuheshimiana, vinginevyo ni kupoteza thamani na ladha ya siasa za hoja,
na kuna vyama,
havina uwezo wa siasa za fujo kwasabb pia ni dhaifu sana hata kwenye siasa za hoja tu 🐒
Ccm hadi ukifikisha miaka 60 bado ni kijana🤣Kwani naye ni kijana huyu
Ndiye nani?Gharama ya Damu ni Moja tu
Msalaba wa Yesu Kristo
jambo la maana zaidi ndrugu zabgi ni kuzingatia sheria na katiba ya nchi katika kufanya siasa nchiniNimecheka kinoma, Bananga anasema ccm sijui viongozi wake watalindwa kwa damu, kwani hao ccm wana lolote ama wanategemea mbeleko ya vyombo vya dola? Mwambie vyombo vya dola vikae pembeni halafu alete hilo tumbo lake mbele kama hajafurahia show.
Lugha ya jumuishi tu hiyo kamarada [emoji1787]"Uvccm Tutalinda".
CCM ni chama cha wauajiHuyu jamaa ni Fala na mshamba, CCM inalindwa na dola pekeyake hakuna chawa anaweza kuilinda CCM....anatafuta uteuzi kwa nguvu
Mfuate facebook mtukane vya kutosha huku matusi hayapati vyema.Sema wanasiasa wa kibongo matter call saaana!! Huyu si alikua mpinzani wa kwenda??
Sema JamiiForums sio Facebook.
Nimetukana saaana kimoyomoyo
Hakika....Ikumbukwe kabla ya kuhamia CCM Ally Bananga alikuwa Kiongozi wa juu wa Chadema mkoani Arusha
CCM hainaga mambo ya Damu na ushahidi ni bendera yake
CCM na Jumuiya zake Wana uwezo mkubwa sana wa Kuwakabili Wapinzani kwa Hoja na hata Uhuru wa Nchi hii tuliutetea kwa Hoja na Siyo Vita ya umwagaji damu
Ni hilo tu
Ahsanteni Sana [emoji209]