IDDI M CHAMSHAMA
Senior Member
- Oct 14, 2012
- 168
- 38
Huyu si alimtangaza Asha Baraka kuwa mwanamke mwenye roho mbaya kuliko wanawake wote duniani, na kwamba hataenda kwenye maazishi yake, wala Asha hasije kwenye maazishi yake! Imekuwaje tena?
Aliyezowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi.
Kama siasa Wa chadema ataenda Act, Wa Act ataenda CCM, wa CCM ataenda CHADEMA.
KIKUBWA HAPA NI NJAA TU.
Adui yako muombee Njaa Huyu ndg inasemekena Alikuwa anapata ufadhili tangu Bendi inaanza na jamaa ambaye kwasasa ni Marehem so tangu hapo hajatulia na viingilio vya milangoni sio ishu sana....so kurudi Twanga ni matokeo ya Njaa...kwenye maisha ni vzr kuweka Akiba ya Maneno
Kumbe na wewe ni mdau wa muziki wa kidunia?Ingependeza zaidi kama ungeshabikia qaswida.