IDDI M CHAMSHAMA
Senior Member
- Oct 14, 2012
- 168
- 38
Duuu...siamini kwa maneno jeuri aliyokuwa anatoaga Ali Choking kuhusu Twanga wakati yuko na Extra bongo yake sikutegemea leo kama angeweza kula matapishi yake ..yani kaufyata..nn kimemsibu??? kweli ngoma ikiwamba sana mwisho wake hupasuka