Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waziri is very powerful and very loved gentleman by nature Jimboni 🐒Kwanini mkuu
Mhhhh walikuwepo akina Kiula bhana hadi walitaka kupewa Unaibu Waziri Mkuu lakini mbona waliondoshwa tu!waziri is very powerful and very loved gentleman by nature Jimboni 🐒
nilitegemea kujibiwa hivyo na asiepima siasa na kujipenda mwenyewe katika siasa, unless awe ndio anaanza kupiga jeramba for the future 🐒Mhhhh walikuwepo akina Kiula bhana hadi walitaka kupewa Unaibu Waziri Mkuu lakini mbona waliondoshwa tu!
Jimbo la Iramba Magharibi na ligawanywe mara mbili kama ilivyokuwa kawaida ya CCM kuepusha mgawanyiko kwa makada wake hasa zikaribiapo siku za uchaguzi. Suala la kuongezeka kwa gharama hilo wala haliwasumbui vichwani mwao.Ali Hapi ambaye anatoka familia ya Mzee Ugula katika kijiji cha Tutu, Kata ya Kiomboi, Wilayani Iramba amekuwa na safari nyingi za kumtembelea bibi yake Mzaa Mama kijijini hapo na safari ya mwisho aliyoifanya na kupiga picha na bibi huyo inasemekana imezalisha jicho la kuonwa na mama na kupewa Nafasi ya Ukatibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi. Hii yote ni kutokana na Ali Hapi kuonwa anawajali sana wazazi na anaweza kuwatumikia vema.
Hata hivyo mtazamo mkubwa uliopo ni Ali Hapi kuanza kutengeneza network hapo kijijini na Kiomboi Mjini ambako ameshapata namba za Viongozi wa CCM katika Kata 7 ambazo anategemea kuanza nazo katika kujitambulisha vizuri akitarajiwa kuleta upinzani mkali dhidi ya Dkt. Mwigulu ndani ya Chama.
Ali Hapi alisikika akitamaka wazi kuwa yeye ni muumini wa vipindi viwili vya ubunge zaidi ya hapo Mbunge huyo anakuwa hana jipya.
Hili linaonekana wazi kuwa lilikuwa ni ndogo dhidi ya Dkt. Mwigulu ambaye ameshatumikia vipindi vitatu katika Jimbo la Iramba.
Atafute shughuli nyingine. Hilo la kumng'oa Madelu pale haliwezi.Ali Hapi ambaye anatoka familia ya Mzee Ugula katika kijiji cha Tutu, Kata ya Kiomboi, Wilayani Iramba amekuwa na safari nyingi za kumtembelea bibi yake Mzaa Mama kijijini hapo na safari ya mwisho aliyoifanya na kupiga picha na bibi huyo inasemekana imezalisha jicho la kuonwa na mama na kupewa Nafasi ya Ukatibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi. Hii yote ni kutokana na Ali Hapi kuonwa anawajali sana wazazi na anaweza kuwatumikia vema.
Hata hivyo mtazamo mkubwa uliopo ni Ali Hapi kuanza kutengeneza network hapo kijijini na Kiomboi Mjini ambako ameshapata namba za Viongozi wa CCM katika Kata 7 ambazo anategemea kuanza nazo katika kujitambulisha vizuri akitarajiwa kuleta upinzani mkali dhidi ya Dkt. Mwigulu ndani ya Chama.
Ali Hapi alisikika akitamaka wazi kuwa yeye ni muumini wa vipindi viwili vya ubunge zaidi ya hapo Mbunge huyo anakuwa hana jipya.
Hili linaonekana wazi kuwa lilikuwa ni ndogo dhidi ya Dkt. Mwigulu ambaye ameshatumikia vipindi vitatu katika Jimbo la Iramba.
hata bila juju the gentleman is nothing before waziri in a ballot box 🐒Atapigwa juju moja matata akafie mbali
Suphian Juma huyo anajijua hachaguliki ndiyo maana amejikita kwenye uchawa akiishi kwa matumaini ya kuteuliwa. Na huyo Ally Hapi ajiangalie sana Mwigulu ana mganga wake mwenye titi moja huyo gagula ni mikosi sana,hakoseagi shabaha.Vipi kuhusu Suphian Juma ?
Kitafunwa chake kile nimekumbukaZito atakubali?
Alikuwa Goliath wa Mungu mwenyewe itakuwa Madelu!Atafute shughuli nyingine. Hilo la kumng'oa Madelu pale haliwezi.
🤣🤣📌Kitafunwa chake kile nimekumbuka
Sawawaziri is very powerful and very loved gentleman by nature Jimboni [emoji205]
Hapana nimeuliza tuNani kakwambia mtanzania anataka maendeleo.
Hapi si ni mrangi