Tetesi: Ali Hapi kwenda kumng'oa Mwigulu jimboni Iramba 2025

Tetesi: Ali Hapi kwenda kumng'oa Mwigulu jimboni Iramba 2025

Kwa hiyo Nzega Hapi Ni wakuja kama Bashe na Kigwangala? Hivi wanyamwezi wakoje kumwacha mzawa kwenda kumweka mpitanjia akusaidieni !? Ila kama Hapi yupo seriously basi mnyonge wake anaweza kuwa Hamisi Kigwangala...yaani kama kuopoa Mwananyamala
 
Mhhhh walikuwepo akina Kiula bhana hadi walitaka kupewa Unaibu Waziri Mkuu lakini mbona waliondoshwa tu!
nilitegemea kujibiwa hivyo na asiepima siasa na kujipenda mwenyewe katika siasa, unless awe ndio anaanza kupiga jeramba for the future 🐒

For tha case,
aende tu kugombea coz, ya Mungu mengi but sio kumshinda waziri 🐒
 
Ali Hapi ambaye anatoka familia ya Mzee Ugula katika kijiji cha Tutu, Kata ya Kiomboi, Wilayani Iramba amekuwa na safari nyingi za kumtembelea bibi yake Mzaa Mama kijijini hapo na safari ya mwisho aliyoifanya na kupiga picha na bibi huyo inasemekana imezalisha jicho la kuonwa na mama na kupewa Nafasi ya Ukatibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi. Hii yote ni kutokana na Ali Hapi kuonwa anawajali sana wazazi na anaweza kuwatumikia vema.

Hata hivyo mtazamo mkubwa uliopo ni Ali Hapi kuanza kutengeneza network hapo kijijini na Kiomboi Mjini ambako ameshapata namba za Viongozi wa CCM katika Kata 7 ambazo anategemea kuanza nazo katika kujitambulisha vizuri akitarajiwa kuleta upinzani mkali dhidi ya Dkt. Mwigulu ndani ya Chama.

Ali Hapi alisikika akitamaka wazi kuwa yeye ni muumini wa vipindi viwili vya ubunge zaidi ya hapo Mbunge huyo anakuwa hana jipya.

Hili linaonekana wazi kuwa lilikuwa ni ndogo dhidi ya Dkt. Mwigulu ambaye ameshatumikia vipindi vitatu katika Jimbo la Iramba.
Jimbo la Iramba Magharibi na ligawanywe mara mbili kama ilivyokuwa kawaida ya CCM kuepusha mgawanyiko kwa makada wake hasa zikaribiapo siku za uchaguzi. Suala la kuongezeka kwa gharama hilo wala haliwasumbui vichwani mwao.
 
Ali Hapi ambaye anatoka familia ya Mzee Ugula katika kijiji cha Tutu, Kata ya Kiomboi, Wilayani Iramba amekuwa na safari nyingi za kumtembelea bibi yake Mzaa Mama kijijini hapo na safari ya mwisho aliyoifanya na kupiga picha na bibi huyo inasemekana imezalisha jicho la kuonwa na mama na kupewa Nafasi ya Ukatibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi. Hii yote ni kutokana na Ali Hapi kuonwa anawajali sana wazazi na anaweza kuwatumikia vema.

Hata hivyo mtazamo mkubwa uliopo ni Ali Hapi kuanza kutengeneza network hapo kijijini na Kiomboi Mjini ambako ameshapata namba za Viongozi wa CCM katika Kata 7 ambazo anategemea kuanza nazo katika kujitambulisha vizuri akitarajiwa kuleta upinzani mkali dhidi ya Dkt. Mwigulu ndani ya Chama.

Ali Hapi alisikika akitamaka wazi kuwa yeye ni muumini wa vipindi viwili vya ubunge zaidi ya hapo Mbunge huyo anakuwa hana jipya.

Hili linaonekana wazi kuwa lilikuwa ni ndogo dhidi ya Dkt. Mwigulu ambaye ameshatumikia vipindi vitatu katika Jimbo la Iramba.
Atafute shughuli nyingine. Hilo la kumng'oa Madelu pale haliwezi.
 
Jana tayari ameshakimbilia jimboni kuweka hali ya hewa sawa. Hajahojiwa tu ila barabara anazodai kuzijenga yeye ni hovyo hovyo haswaaaa!
 
Back
Top Bottom