Ali Hassan Mwinyi kutunukiwa Honorary D. Lett, William Lukuvi MA kesho

Ali Hassan Mwinyi kutunukiwa Honorary D. Lett, William Lukuvi MA kesho

Magobe T

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2008
Posts
5,602
Reaction score
3,845
Kesho Nov 26, 2011, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kinaadhimisha mahafali ya 23 huko Bungo, Kibaha, Mkoa wa Pwani na wahitimu 2,444 watapokea magamba yao. Kati yao, yumo waziri William Lukuvi atakayepata MA katika Political Science na Rais Mstahafu Ali Hassan Mwinyi atatunukiwa Honorary Doctor of Letters (D.Lett).

Hongera wahitimu wote! Mmepata, nanyi katoeni tupate maendeleo.
 
lukuvi kaandikiwa hiyo thesis hana akili za kufanya MA....
 
Lukuvi alishapata mwaka 2011 MA ya political science. Nilishudia na Mwinyi alitunukiwa udaktari wa falsafa na OUT Mwaka huo huo.
 
Back
Top Bottom