Ali Kamwe aiongoza Yanga SC kusafisha Uwanja wa KMC Complex

Ali Kamwe aiongoza Yanga SC kusafisha Uwanja wa KMC Complex

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Afisa Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe, ameongoza shughuli ya kusafisha Uwanja wa KMC Complex, hatua inayokuja mara baada ya klabu hiyo kutangaza rasmi kwamba itautumia uwanja huo kama uwanja wake wa nyumbani kwa mechi zote zilizobaki za Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/25.

Soma, Pia: Gamondi hana furaha na Uwanja wa Azam Chamanzi Complex

Aidha, Yanga SC imepanga pia kuutumia Uwanja wa KMC Complex katika mashindano ya CRDB Bank Federation Cup. Hii ni hatua muhimu kwa Yanga kujenga mazingira rafiki kwa mashabiki wake na kuweka uwanja katika hali nzuri kwa ajili ya michuano yao inayokuja.
 
Afisa Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe, ameongoza shughuli ya kusafisha Uwanja wa KMC Complex, hatua inayokuja mara baada ya klabu hiyo kutangaza rasmi kwamba itautumia uwanja huo kama uwanja wake wa nyumbani kwa mechi zote zilizobaki za Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/25.

Soma, Pia: Gamondi hana furaha na Uwanja wa Azam Chamanzi Complex

Aidha, Yanga SC imepanga pia kuutumia Uwanja wa KMC Complex katika mashindano ya CRDB Bank Federation Cup. Hii ni hatua muhimu kwa Yanga kujenga mazingira rafiki kwa mashabiki wake na kuweka uwanja katika hali nzuri kwa ajili ya michuano yao inayokuja.
Hapo wanacheza mdumange mbona
 
Back
Top Bottom