nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Dah wachawi wameingia, uwanja ushaharibika huu...
Hivi Mo unashindwa kuweka majukwaa Bunju tuhamie pale?
Hivi Mo unashindwa kuweka majukwaa Bunju tuhamie pale?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uoga hakuna kitu kinaitwa uchawi?Dah wachawi wameingia, uwanja ushaharibika huu...
Hivi Mo unashindwa kuweka majukwaa Bunju tuhamie pale?
🤣🤣🤣 atakua yule sijui wanamuita privadinyo mana muonekano wake mashkani mashkani kijana yuleBoom Shakalaka Boom.Kuna mmoja karopoka huko kwamba alikuwa anatoa ndogo halafu Azam wanawasha camera .Kunakuwa hakuna faragha.
Mechi ya mwanzo tu kucheza hpo kipigoYaani gongowazi wanatapatapa mpaka wanatia huruma.Walivyo wajinga eti uwanja unasafishwa?Tena uwanja wa kukodisha?
Huo mwendo anaotembea Ali Kamwe unatia mashaka.
Wangekuwa hawawadharau wananchi ambao ni mashabiki wa Yanga, wasingefanya huu ujinga.Afisa Habari wa Yanga SC, Ali Kamwe, ameongoza shughuli ya kusafisha Uwanja wa KMC Complex, hatua inayokuja mara baada ya klabu hiyo kutangaza rasmi kwamba itautumia uwanja huo kama uwanja wake wa nyumbani kwa mechi zote zilizobaki za Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/25.
Soma, Pia: Gamondi hana furaha na Uwanja wa Azam Chamanzi Complex
Aidha, Yanga SC imepanga pia kuutumia Uwanja wa KMC Complex katika mashindano ya CRDB Bank Federation Cup. Hii ni hatua muhimu kwa Yanga kujenga mazingira rafiki kwa mashabiki wake na kuweka uwanja katika hali nzuri kwa ajili ya michuano yao inayokuja.
Yaan huyu kijana utopwinyo wameshamharibu
Daaa mbaya sanaYaan huyu kijana utopwinyo wameshamharibu