Ali Kamwe aiongoza Yanga SC kusafisha Uwanja wa KMC Complex

Yaani gongowazi wanatapatapa mpaka wanatia huruma.Walivyo wajinga eti uwanja unasafishwa?Tena uwanja wa kukodisha?
Huo mwendo anaotembea Ali Kamwe unatia mashaka.
Mechi ya mwanzo tu kucheza hpo kipigo

Tunza hii komenti
 
Wangekuwa hawawadharau wananchi ambao ni mashabiki wa Yanga, wasingefanya huu ujinga.

Imagine huyu anafanya kama viongozi wa ccm wanavyowafanyia wananchi kuwaona hamnazo.

Tuna changamoto ya watu nchini.
 
Dem alifika gheto kwa msela jambo la kwanza ni kufanya usafi na kupanga vizuri chumba.
 
Utopolo wote wapimwe akili au wapelekwe Lutindi kwa matibabu zaidi
 
Yaani umechukuwa chumba Lodge unaanza kupiga deki na kufua mashuka kuna sehemu wana Yanga hawako sawa mi nashauli chomoeni mwiko kule uliko kama mnaupenda utieni hata mdomoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…