Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Kupitia kipindi cha dakika 90 cha azam tv ali aliweka wazi kuwa kuanzia sasa angapenda kutambulika kama meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya yanga..
Namnukuu”kwanza niweke wazi,hapo awali post yangu ilikuwa inasomeka afisa habari,ila sasa ningependa kutambulika kama meneja wa mawasiliano na habari wa klabu ya yanga.
SO NOW TUNA MENEJA HABARI NA MAWASILIANO WA KLABU YA SIMBA (ahmed ali )na swahiba wake ali kamwe(MENEJA HABARI NA MAWASILIANO WA KLABU YA YANGA)..
Namnukuu”kwanza niweke wazi,hapo awali post yangu ilikuwa inasomeka afisa habari,ila sasa ningependa kutambulika kama meneja wa mawasiliano na habari wa klabu ya yanga.
SO NOW TUNA MENEJA HABARI NA MAWASILIANO WA KLABU YA SIMBA (ahmed ali )na swahiba wake ali kamwe(MENEJA HABARI NA MAWASILIANO WA KLABU YA YANGA)..