pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Habari za weekend wakuu
Baada ya jana kusambaa video ikimuonyesha waziri mkuu akimsifia ALI KAMWE kwa tathmini yake aliyoifanya juu ya simba kuvaa jezi ikiwa na neno linalosomeka 'VISIT TANZANIA' na namna kama nchi na sekta ya utalii itakavyonufaika na tangazo lile.
Baada ya simba na serikali kuingia makubaliano ya kuvaa VISIT TANZANIA katika jezi wanazotumia katika mashindano ya CAF baadhi ya wachambuzi na wadau mbali mbali wa michezo waliponda na kusema haina tija kwa taifa, kuwaambia wa AFRICA waitembelee Tanzania ila hiyo yote ni kutokana na utani wa jadi wa simba na yanga kila mtu alikuwa anajaribu kuelezea kwa upande.
Ila baada ya Waziri Mkuu kumpongeza ALI KAMWE nadhani wachambuzi na wadau wa soka watajifunza kutoka kwake jinsi ya kuangalia kwa manufaa ya taifa kuliko kiushabiki kama wanavyo fanya kina maulidi kitenge, oscar oscar, na kina gift macha ambao mda wote wanatafuta makosa kuliko uhalisia.
Baada ya jana kusambaa video ikimuonyesha waziri mkuu akimsifia ALI KAMWE kwa tathmini yake aliyoifanya juu ya simba kuvaa jezi ikiwa na neno linalosomeka 'VISIT TANZANIA' na namna kama nchi na sekta ya utalii itakavyonufaika na tangazo lile.
Baada ya simba na serikali kuingia makubaliano ya kuvaa VISIT TANZANIA katika jezi wanazotumia katika mashindano ya CAF baadhi ya wachambuzi na wadau mbali mbali wa michezo waliponda na kusema haina tija kwa taifa, kuwaambia wa AFRICA waitembelee Tanzania ila hiyo yote ni kutokana na utani wa jadi wa simba na yanga kila mtu alikuwa anajaribu kuelezea kwa upande.
Ila baada ya Waziri Mkuu kumpongeza ALI KAMWE nadhani wachambuzi na wadau wa soka watajifunza kutoka kwake jinsi ya kuangalia kwa manufaa ya taifa kuliko kiushabiki kama wanavyo fanya kina maulidi kitenge, oscar oscar, na kina gift macha ambao mda wote wanatafuta makosa kuliko uhalisia.