Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Nisiongelee kwann mkuu,kwani uongoIshu ya Man city kama huijui ni heri usiiongelee tu ili kupunguza aibu ndogo ndogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisiongelee kwann mkuu,kwani uongoIshu ya Man city kama huijui ni heri usiiongelee tu ili kupunguza aibu ndogo ndogo
Kama Sasa wako kwenye 10bil hizo 100mil zinakuaje kua mwendo wa kukomoana??Ngojea nao Yanga waibuke na ya Zaka au Ibwe watadai mil 100.Mwendo wa kukomoana.
Tumekuelewa Mwanasheria wa Yanga wamebaki Yanga tu ndo wana kesi ya Msingi dhidi ya Ahmedi Ally si ndio Wakili Msomi?Sandaland hana kesi; ni kiki tu. Iliyodhalauriwani jezi siyo Kampuni ya Sandaland. Halafu kughadaru bidhaa siyo defamation hata siku moja. Ndiyo maana hata Consumer Report hutoa ranking za bidhaa mbalimbali wakionyesha bidhaa zenye ubora mzuri na zile zisizokuwa na ubora.
Azam FC nao hawana kesi, ni kiki tu. Kutoa maoni ya kumtuhumu mtu yeyote siyo defamation mpaka kuwe na tamko la kuonyesha kuwa mtoa maoni hayo ana uhakika kuwa mtu anayetumiwa alifanya jambo analotuhumiwa nalo. Mtamkaji anakuwa anafanya defamation akitegemea ama kunufaika na tamko hilo au kumdhuru mtuhumiwa kwa tamko hilo.
Ndio ipo hivyo.Kama Sasa wako kwenye 10bil hizo 100mil zinakuaje kua mwendo wa kukomoana??
Hata suala la Fei Toto kuzungumza na Azam wakati bado na mkataba na Yanga ni issueUpepo wa ujinga umeingia mjini!
Tukifukua makaburi ya Zaka za Kazi NCHI nzima itanuka case!
Waziri mwenye zamana aingilie kati huu upuuzi!