Ali Kamwe ataweza kushindana na Sandaland na Azam FC Mahakamani?

Tumekuelewa Mwanasheria wa Yanga wamebaki Yanga tu ndo wana kesi ya Msingi dhidi ya Ahmedi Ally si ndio Wakili Msomi?
 
Ila ile kauli ya kuzima taa ili Dube asifunge ilikuwa ya kijinga.
 
Upepo wa ujinga umeingia mjini!

Tukifukua makaburi ya Zaka za Kazi NCHI nzima itanuka case!

Waziri mwenye zamana aingilie kati huu upuuzi!
Hata suala la Fei Toto kuzungumza na Azam wakati bado na mkataba na Yanga ni issue
 
Uyo dogo wa yanga akili zake za kisenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…