Ali Kamwe azimia baada ya mechi, akimbizwa hospitalini

Ali Kamwe azimia baada ya mechi, akimbizwa hospitalini

Ishu ni kutimiza malengo mm malengo yangu yalitimia ila mungu mwema tukaenda mbali zaidi jeee wewe naada ya kuingia robo fainali mara mbili malengo yako ni nusu fainal jeee umeyafikia mpaka sasa nyie mbabezwa kwasababu hamfikii lengo mliojiwekea
Kwahiyo simba hawakuwahi kuwa na malengo ya kuingia group stage? Je walipopitiliza hadi robo alizimia nani?
 
Sio mara moja baada ya Simba kushinda mechi na kutinga robo hutokea mashabiki kufa. Kufia hospital au majumbani imeshatokea zaidi ya mara Moja.

Mwenye kiti wa Tawi la Simba pale keko mechi na As vita alifariki akiwa anakimbizwa hospital baada ya kuanguka pale uwanjani Benjamin Mkapa.
 
Halafu baadae wakikaa peke yao wanaanza kubeza eti mwaka robo

Wao robo fainali moja tu tayari wameanza kuzimia.

Hawa ili tuendelee kuishi nao kwa usalama inabidi tuwaombee wafungwe kila mechi vinginevyo tunaweza kuwapoteza siku za usoni.
Tatizo la mwakarobo nimelisema muda mrefu hapa, tatizo si kuishia Robo final tatizo kuwa kubwa zembe miaka yote hasogei ni hapo hapo Tu, huu ni uzembe wa Hali ya juu ..
 
Majini' yanataka kuondoka na MTU wao. Mayele hakuongea Kwa Bahati mbaya.
 
Halafu baadae wakikaa peke yao wanaanza kubeza eti mwaka robo

Wao robo fainali moja tu tayari wameanza kuzimia.

Hawa ili tuendelee kuishi nao kwa usalama inabidi tuwaombee wafungwe kila mechi vinginevyo tunaweza kuwapoteza siku za usoni.
Unateseka ukiwa wapi nyumbu? Maana huku yanga Kule man utd kaliwa
 
Mwamba huyu hapa ...
IMG_20240225_072712.jpg
 
Kwani we kila mwaka huwa haushiriki hayo mashindano?
Mfano mwaka jana tuliweka malengo tuingie makundi ila bahati mbaya tulitolewa(tulifeli) ila tukadondokea shirikisho tukacheza mpaka final,mwaka huu tukaweka malengo tuingie makundi kwahiyo utaona ni namna gani tumetimiza malengo na kupitiliza....Yanga ana uhakika wa kuongoza hili kundi vipi unatamani ukutane nae?
 
Halafu baadae wakikaa peke yao wanaanza kubeza eti mwaka robo

Wao robo fainali moja tu tayari wameanza kuzimia.

Hawa ili tuendelee kuishi nao kwa usalama inabidi tuwaombee wafungwe kila mechi vinginevyo tunaweza kuwapoteza siku za usoni.
Natamani nikwambie kwamba mahali alipopelekwa Kamwe wana mkataba na Yanga. Kama una elimu kidogo ya mambo ya masoko utakuwa umeshanielewa.
 
Huenda ndiye aliyebeba mikoba ya timu leo, sasa midude labda haijamaliziwa kitoweo chao
Na bado, mtasema sana tu🤣🤣

Ongeeni na watu vizuri, yapo madude mpaka ya buku jero na nyinyi mnunue japo muonekane ulimwenguni🤣🤣
 
Back
Top Bottom