Kwahiyo simba hawakuwahi kuwa na malengo ya kuingia group stage? Je walipopitiliza hadi robo alizimia nani?Ishu ni kutimiza malengo mm malengo yangu yalitimia ila mungu mwema tukaenda mbali zaidi jeee wewe naada ya kuingia robo fainali mara mbili malengo yako ni nusu fainal jeee umeyafikia mpaka sasa nyie mbabezwa kwasababu hamfikii lengo mliojiwekea