Ali kamwe shujaa WA soka 2025.…soka la KUPANGA matokeo lipingwe hadharan MSIOGOPE kuwambia ukweli..MARUFUKU KUPANGA MECHI NYIE MAREFA TUNAWAONYA

Ali kamwe shujaa WA soka 2025.…soka la KUPANGA matokeo lipingwe hadharan MSIOGOPE kuwambia ukweli..MARUFUKU KUPANGA MECHI NYIE MAREFA TUNAWAONYA

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
TUFIKE WAKATI TUSEME KUPANGA MECHI NO KWENYE SOKA LETU

NAJUA WENGI MMEUMIA KWA ADHABU YA ALI KAMWE NAWAHAKIKISHIA HUU NDIO MWANZO TU. MTAAMBIWA UKWELI MTAFUNGIA WENGI TU MPAKA MBADILIKE

UKWELI UKO WAZI MECHI ALIZOCHEZA SIMBA ZILITIA AIBU MPAKA WATANZANIA WAKAAMKA NDIPO UKAONA MAREFA WAMEBADILIKAA

N SWALA LA AIBU KUONA UNA MFUNGIA MTU KWA KUKWAMBIA UKWELI...

MLITAKÀ MAREFA WAENDELEE KUPIGA DILI MNAJUA MAUMIVU TUNAYOPATA NYIE TFF

MNAJUA WANANCHI WANAACHA KULA KITIMOTO NA WATOTO WAO WANATESEKA UWANJAN MNAJUA MAUMIVU YAKE NYIE NA PESA TUNAZOTOA KUONA MECHI

AMA MMEZOEA TU KUSUBIRIA MECHI ZENU. ZA AJABU MPIGE DILI MWONDOKE

BADILIKEN
HATUTAKAA KUACHA KUWASEMA MPAKA HII MICHEZO YENU YA AJABU IISHE
 
Tujifunze unapotoa shutuma nzito kama hizo ni vyema uwe na ushahihi wa kutetea shutuma zako.

Lakini kama kweli Ally Kamwe kafungiwa kwa kutoa shutuma kama hizo itakuwa ni bonge moja la double standard. Wazee wa Simba waliitisha hadi mkutano kuishutumu Yanga, GSM, Marefa, hadi TFF yenyewe huku Ahmed Ally akiunga mkono madai yale. Nini kilifuata?

Yote kwa yote uropokaji sio mzuri.
 
Screenshot_20250306_095907_Instagram.jpg

Hii clip imepostiwa leo na Wasafi wakidai ndicho kilicho mponza Kamwe. Hivi NBC League kuna timu inaitwa Kolo FC,yaani inawezekana hilo baraza la maamuzi lilijaa wanazi wa mpira badala ya wanasheria. Au labda kuna jingine ngoja tussubiri barua rasmi ila kama sababu ndio hiyo ,inabidi TFF watuambie kwenye league hao Kolo FC wanashika nafasi ya ngapi.
 
View attachment 3260967
Hii clip imepostiwa leo na Wasafi wakidai ndicho kilicho mponza Kamwe. Hivi NBC League kuna timu inaitwa Kolo FC,yaani inawezekana hilo baraza la maamuzi lilijaa wanazi wa mpira badala ya wanasheria. Au labda kuna jingine ngoja tussubiri barua rasmi ila kama sababu ndio hiyo ,inabidi TFF watuambie kwenye league hao Kolo FC wanashika nafasi ya ngapi.
Ndiooo HATA channel ten wanahoji

Tff Wana timu inaitwa makoloo fc

YAAN wamejaaza ushenzi na uujingaa ndio maana wanaona AIBU kujitokeza hadharani

Shenzi Hawa wanatuliaa sokaa letu
 
Back
Top Bottom